Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mnajifariji!!!
Ukweli ni kuwa uwezo wa Man United kama team ni mdogo sana, kiwango kibovu, wachezaji hawajitumi (labda ndo uwezo mdogo wenyewe) na team inacheza bila mipango.
Poor Olesendeka, Poor Manyau.
It pain to both sides ,man u and liverpool
 
Mnajifariji!!!
Ukweli ni kuwa uwezo wa Man United kama team ni mdogo sana, kiwango kibovu, wachezaji hawajitumi (labda ndo uwezo mdogo wenyewe) na team inacheza bila mipango.
Poor Olesendeka, Poor Manyau.
Ulitaka tuwe na uwezo mkubwa ili mchukue kombe ama
 
Hahahahahaha huu msiba wa hizi Mbuzi AssAnal itabidi uhusike mkuu ..ila huu wa manyumbu nadhani na wewe utakugusa sana ..hivyo sina budi kukupa pole mapema tu ..

Pole sana mkuu ..bado tuna msimu ujao..

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Man u dua zote kwenu leo,arse8 washapoteza kama nawaona vile mnavyoingia top 4 mashetani,go go devils
Tunachofanya ni kupalilia nafasi ya Tatu (3) kwa Tottenham na kufanya nafasi ya NNE (4) kuwa kinyanganyiro kama ubingwa vile. Chelsea, Arsenal na Man Utd for 4th place struggle.
 
Tunachofanya ni kupalilia nafasi ya Tatu (3) kwa Tottenham na kufanya nafasi ya NNE (4) kuwa kinyanganyiro kama ubingwa vile. Chelsea, Arsenal na Man Utd for 4th place struggle.
nyie futuhi ndo level zenu
 
wachezaji tulokiwa nao saiv hawajui maana ya rivalry wala derby games. Wanajua wakanda, avengers na ukhanit.hi mwengine tu.

Ole nae..... ah nasbr next season tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…