SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
lakini United alishinda yake kwanza, pili, Liverpool mjilaumu wenyewe katika hili sio kutegemea fulani afungwe ili nyie mpate afueni, sababu mliongoza kwa points nyingi sana.
tatizo lako unaona kila unalosemaga wewe unaona upo sahihi sio hapa tu hata kule kwenu.Kwani kuna hoja iliyotolewa hapo awali? Au umekurupuka tu?
Kumbe na wewe hujui tofauti ya Hoja na Maoni! Ni walewale tu kina Ndugai.
ni kweli kabisa City pia ipate yakeKila timu ishinde mechi zake Na Manchester United ikiwemo nayo ishinde mechi zake.
Huoni huu kuwa ni ukichaa??Ningekuwa kocha wa Manutd ningemuongezea mkataba afu ningemueka benchi misimu yote ilimradi tu kumuonesha km hana umuhimu
Inabidi watu wahoji attitude ya Pogba na sio uwezo wake..maana uwezo anao hilo halina ubishi...Pogba ni wa kawaida sababu yupo timu ya kawaida
Pogba wa Juventus nyuma yake alikuwa alikuwa Pirlo na Vidal.
Pogba wa France chini ana Kante na Matuidi.
Pogba wa Man United chini ana Matic na Herrera tena Matic yule anaemkaba kwa macho Sigurdson anapiga shuti linazaa goli
then unatarajia mambo yatakuwa the same??
huyo Tom Cleverly unaesema wewe ni bora kwa sasa yupo Watford anakula mkeka tu ila kama angekuwa United angekuwa regular starter, simple and clear sababu United ni timu ya kawaida na mchezaji ni wa kawaida.
Lakini walivuomtoa PSG mlikuwa mnasemaje?
Woodward ndyo mdudu gani?
Yah! Ferguson aliwaweka kwenye udhibiti kupitia FA kiasi ya kwamba Manure ikatawala soka la kiengereza kupitia msaada wa hao majamaa
Tatizo ni primadonna.Sidhani kama yanayosemwa dhidi ya Pogba ni sahihi!
Manchester (City & United) hakuna mchezaji anayefikia hata nusu ya kipaji cha Pogba!
Ni pure World Class.
Wewe unapiga mdomo sana ,tunasema hivi tutapiga ramli ,EPL, abebe man city ,UCL, messi anawabaka, mnamaliza msimu bila taji, subir tuone,wewe siuna mdomo mrefu sanaKwanza Valencia hawaachi hawa
Msimu ujao mnashuka daraja kabisa,na kocha wenu mvuta bangiWatu kama Kourt Zouma, Ake, M'batishway, Morata, Bakayoko, Baba Rahman, Musonda, Kennedy, na madog wengine warudishwe tuunde kikosi cha msimu ujao ...
Maana ile rufaa ya Chelsea sioni kama.a itafanikiwa..
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah hahahahahahahahahWewe unapiga mdomo sana ,tunasema hivi tutapiga ramli ,EPL, abebe man city ,UCL, messi anawabaka, mnamaliza msimu bila taji, subir tuone,wewe siuna mdomo mrefu sana
MKUU TIMU MLIMPA DEIWAKA KOCHA HAKUNA HAPO.Huyu Ole ananiboa sana anapoanza kuleta stori za Ferguson,,..hivi yeye hana mbinu na njia zake binafsi za kuiongoza timu yetu??
Kila muda fergie,fergie,fergie!!..pathetic
Ndio, kama depay alimfunika neymar na kuwa behind Ronaldo na Messi pekee Duniani then Sioni kwanini hao uliowataja kushindwa kuuza jezi.Kwasababu Bado Munaendelea na Mikataba Minono iliyokuepo awali.
Subiri Hao kina Nike wamalize Mikataba ufike muda wa Kurenew halafu hamuchezi CL ndiyo utaona mziki wake.
Man United alikuwa Bingwa wa Kuuza Jezi, lakini unadhani Jezi ya Kina Rice na Sancho itauzwa kama ya Pogba?
Vipi kuhusu timu yake ya taifa, Argentina, wewe na dunia nzima wanamchukuliaje!? Kwa nini!? Nijibu hayo tuendeleeKwa sifa na vigezo hivyo ulivyovitaja basi EPL nzima huyo mchezaji atakuwa ni Ngolo Kante peke yake
Again, kwa vigezo hivyo hata Messi haqualify manake akiwa na National team hajashinda World Cup
Humjui gundogan na de bruyneSidhani kama yanayosemwa dhidi ya Pogba ni sahihi!
Manchester (City & United) hakuna mchezaji anayefikia hata nusu ya kipaji cha Pogba!
Ni pure World Class.
Sporting Director
Director of Football
Technical Director
Sijui Glazers na Ed wanawaza nini? It is almost May, baadhi ya dili za kusajili na kuuza wachezaji zilipaswa kuwa kwenye hatua za mwisho lakini mpaka sasa banker Ed ndio Sporting Director wetu (funny but not funny)
Kiuhalisia, baada ya Jose kuondoka, usajili wa kwanza ilibidi uwe wa Sporting Director lakini naona Ed anapiga mark time tu
Nimeanza kuelewa kwanini ile miaka ya 2000 mashabiki wa United walikuwa wana protest ili Glazer asiuziwe timu
Miaka 7 hatujabeba EPL na UCL ila kimapato tunawakimbiza waliobeba.