MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
Kikosi dhaifu si mngeenda kushiriki ligi daraja la kwanza labda mtakutana na vikosi dhaifu vingine,EPL sio ya kuja na vikosi dhaifu.
Leo Mbwamwitu anakutana na Shetani unategemea atapona kweli??
Mkuu unajua kilichotokea kuwa wachezaji waliuzwa na wengine wakawa majeruhi lakini unajifanya mbishi. Sasa wewe una full kikosi. City akapiga 6 - 1, full kikosi unanyanyaswa na Bilbao. Utasemaje hapo?
Naomba ujikumbushe walichokufanya Wolves msimu uliopita, nyakati kama hizi.