Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yeah ni kweli

Kwa kuwa wewe ni mdau humu nadhani huwa unafuatilia/kuchangia mijadala

Sio kwamba pale United hawanunuliwi wachezaji, wananuliwa lakini naweza kusema ni kwa kukurupuka

Can you imagine tangu babu aondoke imeshatumika takribani milioni £700?

Tatizo la kwanza watu wasio wa mpira (wafanyabiashara) ndio wanafanya football decision pale United

Tatizo la 2 mameneja wanaajiriwa bila kuzingatia football philosophy yao in relation na football philosophy ya club, hivyo kila kocha anayekuja anaanza upya kusajili, hamna uendelevu

Awe technical, Football ama Sport Director...... Anahitajika mtu wa ku bridge gap kati Wafanya maamuzi ambao wanaangalia sana biashara na staff inayoshughulika na football

Kingine, badala ya kuangalia quantity (kusajili sura mpya nyingi) tunapaswa kuangalia quality, yaani tusajili (wachezaji wenye uwezo kweli kweli hata kama ni wachache)





Sent using Jamii Forums mobile app
Technical director anakuja june.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mnafurahia mechi ya leo vijana walivyofunguka kuna mtu hapa anasema hii ndio united tunayoitaka. Mnajifanya hamjui shida iko wapi..MARTIAL ni mzigo ule mvivu leo wachezaji wote wamefunguka, wanajituma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1061436
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini Herrera anastahili pauni 200k...jamaa sawa anajituma na anailenda timu lakini sio kam ni wolrd class player. ..pengo lake litakuwepo haswa experience yake but ndo tunaanza upya kujenga timu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why wachezaji wa Manchester United uwa awachezi mpira kwanza wanaruhusu mpinzani atulize ndio wakabe
 
Kikosi cha leo bila Herrera first eleven wala sub inaweza kuwa ni clue nyingine kwamba jamaa anasepa

Sent using Jamii Forums mobile app


"Ander, Rashy, they weren't fit for the game. Anthony got a knock as well, we think he will be able to come on if needed. With Scott and Fred we have got fresh legs and energy, so hopefully we can benefit from that."
United travelled down on Monday night for the match against Wolves, and Solskjaer also revealed how that change was inspired from their FA Cup defeat against the same opponents prior to the international break.
"We hope so, we have gone down here last night. Last time we went in the morning. It is not superstition but we didn't want to make the same mistakes we did then, and hopefully we won't do that on the pitch either."
 
Back
Top Bottom