Fellaini alivyosajiliwa toka Everton alikuwa analipwa £ 80,000 baada ya kuongezwa ukapanda mpaka £100,000 sababu kubwa ya Fellaini kuchelewa lkusaini mkataba haikuwa fedha yeye alitaka mkataba wa miaka 2 with option to add another year while klabu ilimpa mkataba wa mwaka mmoja the same case inayochelewesha Mata kusign mkataba mpya
Hao The Sun, Mirror sio reliable source,the most reliable news kuhusu United ni MEN mshahara wa Lukaku ni £200,000 na sio 250,000
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Madrid hawana namna ya kufanya overhaul ya kufa mtu
Ronaldo (Talisman wao aged, na akaamua kuondoka)
Bale aging na prone to injury
Modric ambaye ni mtu muhimu sana pale pia umri unamuacha
Kroos umri pia unamuacha (ana 29 lakini kuna wachezaji wanachoka mapema)
Ramos
Marcelo
Etc
Yaani karibu timu nzima ilikuwa inaelekea mwishoni (Zidane aliona mbali alivyoikimbia timu mara ya kwanza)
Madrid hii ni sawa na Man Utd ya SAF, iliachwa ikiwa kwenye hali mbaya sana
Na Barcelona miaka 2 ijayo wanaweza kujikuta kwenye haya mazingira, sipati picha Barcelona baada ya Iniesta, Xavier, Puyol, Bosquet, Messi (core ya timu)
Hiki kiliwakuta pia AC Milan walivyopukutika akana Maldin, Pipo, Seadorf, Gatuso, Nesta n.k
Ngoja tusubiri na tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ni kweliLakini unaweza kufanya mabadiliko kutokana na sababu tofauti tofauti sio lazima kwe kigezo cha umri. Kumbuka timu haifikii malengo yake kwa wachezaji iliyo nao.
nimekupata mkuu,sasa naanza kuamini kauli za wajuvi wengi humu sisi tumegeuka taasisi inayoendeshwa kibiashara zaidi lakini matokeo ya uwanjani ni ziada. Asante sana.Yeah ni kweli
Kwa kuwa wewe ni mdau humu nadhani huwa unafuatilia/kuchangia mijadala
Sio kwamba pale United hawanunuliwi wachezaji, wananuliwa lakini naweza kusema ni kwa kukurupuka
Can you imagine tangu babu aondoke imeshatumika takribani milioni £700?
Tatizo la kwanza watu wasio wa mpira (wafanyabiashara) ndio wanafanya football decision pale United
Tatizo la 2 mameneja wanaajiriwa bila kuzingatia football philosophy yao in relation na football philosophy ya club, hivyo kila kocha anayekuja anaanza upya kusajili, hamna uendelevu
Awe technical, Football ama Sport Director...... Anahitajika mtu wa ku bridge gap kati Wafanya maamuzi ambao wanaangalia sana biashara na staff inayoshughulika na football
Kingine, badala ya kuangalia quantity (kusajili sura mpya nyingi) tunapaswa kuangalia quality, yaani tusajili (wachezaji wenye uwezo kweli kweli hata kama ni wachache)
Sent using Jamii Forums mobile app
MEN kwa habari zinazohusiana na Manchester ni very reliable
Reliable sources kwa ujumla ni Sky,BBC
Na hao huwa wana report confirmed news (yaani habari iliyo kuwa dhahiri) ambazo kwenye ulimwengu wa sasa ukisubiri sana confirmed news utachelewa
Hawa wengine kina Mirror, The Sun, Dail Mail n.k kadhalika wana report habari hata kama haijawa confirmed zinaweza kuwa za kweli au sio kweli kwa asilimia zote
Kinachinifanya niipe nafasi habari ya hayo majarida ambayo hayana uhakika kwa 100% ni jambo hilo hilo ku ripotiwa na jarida zaidi ya moja kwa mfanano
Kwa kuwa wewe umesema MEN ndio source uliyoitumia, naomba attachment/screenshot ya hiyo £80,000 kwa wiki na hiyo £100,000 kutoka MEN nitaikubali kwa mikono miwili kwakuwa na mimi ninakiamini hicho chanzo kuliko hivyo nilivyovitumia
Ila kama unasema authority sahihi ni MEN lakini haukutumia authority yoyote kuwasilisha hizo figure nitaendelea kuvitumia vyanzo vingi tofauti tofauti vilivyo report jambo moja kwa mfanano
Halafu kwa upande wangu hata kama sikiamini chanzo lakini kama kimemnukuu mtu ambaye ni sahihi nitaiamini tu hiyo taarifa, especially huko ulaya (maana hakuna gazeti linaloweza kuweka nukuu ya uongo)
Sasa kama gazeti limemnukuu msemaji wa Jose Mourinho anasema Fellaini alikuwa ni mchezaji wa 3 kwa kulipwa mshahara mkubwa United mimi niliopo huku Tandahimba ni nani nibishe?
Na kama wote tunajua Sanchez ambaye ni top earner analipwa £350K kwa wiki bila bonus, anafuata Pogba £290K kwa wiki then wa tatu ametajwa Fellaini yeye atakuwa analipwa ngapi? Kama Felli ambaye ni wa tatu(kwa mujibu wa msemaji wa Jose) alikuwa analipwa £100K basi akina De gea, Fred watakuwa wanalipwa £90K au £80K.
Sent using Jamii Forums mobile app
Game yetu saa ngap wakuu
Kikosi cha leo bila Herrera first eleven wala sub inaweza kuwa ni clue nyingine kwamba jamaa anasepa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui Ole ana mpango gani lakini hili la kumuacha Herrera limeanza kunitia wasiwasi na uwezo wake.