Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Kwenye modern football kazi ya FB sio kuzuia tu especialy kwa timu ambayo haina winga wa kulia na wa kushoto(Martial/Sanchez wanastruggle)Hamna kwanza man u haina mapungufu ya fullbacks na goli chache sana tumefungwa kutokana na kupwaya kwa full backs.
Nachoona Mimi nikuongeza right wing tu kwa upande huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama pale katikati hapatafanyiwa marekebisho basi tutaendelea kuwalaumu mabeki wetu hata tukisajili wapya.
Viungo wetu wanapoteza mipira kama walevi vile,wote ni wazito kupindukia.
Kwenye modern football kazi ya FB sio kuzuia tu especialy kwa timu ambayo haina winga wa kulia na wa kushoto(Martial/Sanchez wanastruggle)
Joshua Kimmich RB-10 assist
Andy Robertson LB-9 assist
Jordi Alba LB-7 assist
Alexander-Arnold RB-6 assist
Lukasz Piszzeck RB-6 assist
Benjamin Mendy LB -5 assist
Hector Bellerin RB-5 assist
Saed Kolasinac LB-5 assist
Raphael Guerrrero LB -5 assist
Kuna fullback ambao wana contribute magoli mengi kuliko washambuliaji wetu,tunamsifia Shaw ndio mchezaji wetu bora lakini ana assist 3 + 1 goal tena akiwa kwenye msimu wake 5
United imekuwa too predictable karibia mechi 7/8 zilizopita timu inastruggle sana kwenye kushambulia na ku-defence ,timu inahitaji massive improvement
Ndiyo maana nikasema Man u hawamuoni Ruben Neves ?
Ila tuseme ukweli pale kati Pogba huwafanya wenzake wacheze kwa tahdhari muda wote maana maboko anayotoaga siyo ya kiungo level yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo tarehe moja mwezi Wa nne au!?Wiki sita out. Six weeks out. View attachment 1059851
Sikukuu Ya wajinga wewe!! Usiamini kila unachokionaWiki sita out. Six weeks out. View attachment 1059851
Counter-attack ndio the best system ya kuwatumia winger na fullback kushambulia our kocha must be flexible.Liverpool viungo wao wote ni butu kushambulia so Klopp ameamua kuwatumia fullback kushambulia.Tunaposema hivi tukumbuke pia timu zote hizo tulizozitaja zinacheza katika mfumo gani kwa sababu team zote hizo ulizoorpdhesha hazichezi kwa counter attack kama Man u
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hao wenzake wanacheza pia chini ya kiwango recently,acheni kumpa lawama nyingi Pogba..Herrera amekua ovyo sana mechi tano zilizopita.,,Pia matic anaonyesha uchovu wa hali ya juuNdiyo maana nikasema Man u hawamuoni Ruben Neves ?
Ila tuseme ukweli pale kati Pogba huwafanya wenzake wacheze kwa tahdhari muda wote maana maboko anayotoaga siyo ya kiungo level yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu nimesoma, wanasema Ed ameridhishwa na kazi ya Ole kwenye defence.Watu wanaotaka tusajili Full Back wana hoja ya msingi
Ashley Young msimu ujao anafikisha miaka miaka 34 na kushinda kombe na full back wa miaka 34 ambaye alibadilishwa kutoka kuwa winger ni jambo gumu sana
Valencia, Darmian msimu ujao hatutakuwa nao tena pale United, hilo lipo wazi
Hii itatufanya kubaki na Shaw, Dalot na Young (ambaye umri si rafiki kwake/kwetu) kwa nafasi za full backs
Nikitazama Academy sioni full back wa ku take over kwani madogo tulionao umri bado hauwaruhusu kucheza katika level ya juu. Kuna dogo anaitwa Ethan Laird ((RB) na Brandon William (LB)
Nikichungulia waliopo loan, namuona TFM na Borthwick Jackson, are they good enough for tilltle surge? I don't think so. Pia yupo Tuanzebe ambaye anaweza cheza full back, lakini kwa asili ni CD.
Option nyingine ni kuchezesha wachezaji out of position. Bailly anaweza kucheza FB, Ice Man anaweza kucheza full back, pia Jones na Smalling wanaweza kucheza full back. Tukumbuke tunampango wa kununua CD, hivyo hawa jamaa wanaweza kupisha mgeni (hope it is Koulibally). Lakini je tunaweza kuchukua kombe kwa kuchezesha wachezaji out of position, SIDHANI.
Kwahiyo tunarudi pale pale kwamba ni kweli tunahitaji FB.
Lakini je tunahitaji full back kama tunavyohitaji Central Defender, Midfielder na Winger mpika mabao? HAPANA. Je Ed/Glazers wapo tayari kutoa mpunga wa kusajili wachezaji 4 (world class players)? SIDHANI. Nadhani, nasisitiza nadhani utatoka mpunga wa kusajili wachezaji 3.
Hivyo kama Ed atatoa mpunga wa wachechaji 3 (jambo ambalo nawaza ndio litatokea), tunapaswa kutazama options ya madogo wa academy ama waliopo loan ili kuwa na back up ya full backs next season. Lakini mpunga wa wachezaji 4 ukitolewa naona ni jambo la lazima kununua full back
Wan Bissaka au nani? Ni ukweli usiopingika kua dogo ni mzuri sana, lakini pia tuna dogo mwingine ambaye pia ni mzuri, anaitwa Dalot. Hivyo katika kununua beki ninaona ni vyema tukinunua more experienced full back, mfano Thomas Meunier wa PSG (shabiki kindaki ndaki wa United) au Sidibe wa Monaco. Hiyo ni mifano tu, tunaweza kupata mabeki wengine. Hawa mabeki wazoefu watamfanyia Dalot mentoring akiendelea kujifunza.
Huo ni mtazamo wangu masela msijenge chuki (Utani tu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu nimesoma, wanasema Ed ameridhishwa na kazi ya Ole kwenye defence.
Wanafikiria kutonunua mchezaji wa defence.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona jioni hii majarida mbalimbali yanadai Herrera amesaini pre contract agreement na PSG
Kama taarifa ni za kweli, tunahitaji kusaini watu 5, sio 4 tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona jioni hii majarida mbalimbali yanadai Herrera amesaini pre contract agreement na PSG
Kama taarifa ni za kweli, tunahitaji kusaini watu 5, sio 4 tena
Sent using Jamii Forums mobile app