Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Sina uhakika sana inawezekana anaeongoza ligi ni Manchester United
Sina uhakika sana inawezekana anaeongoza ligi ni Manchester United
Hili swali uniulize mwisho wa ligiKwani klopp ni kocha?? na Kama kocha je amewapa ubingwa mara ngapi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Unauhakika dybala anaweza cheza 9 mkuu au Warner unaamini kuwa atakuwa ni zaidi ya lukaku??
Sent using Jamii Forums mobile app
Dyabala anacheza 10 ila huu warner ni 9
Hapo nimangalia kwa sababu ya umri maana jamaa hajafika hata mika 25 ndio kwanza ana miaka 22Yes mkuu but hofu yangu Warner anaweza pata shida mwanzoni so ni risk bado kumchukua
Sent using Jamii Forums mobile app
Warner akikosea hana lawama ila Lukaku akisoea ni full of lawama if you know what i meanHapo nimangalia kwa sababu ya umri maana jamaa hajafika hata mika 25 ndio kwanza ana miaka 22
Dyabala anacheza 10 ila huu warner ni 9
Milion 75 tulizotoa ni nyingi sana aiseeWarner akikosea hana lawama ila Lukaku akisoea ni full of lawama if you know what i mean
Warner akikosea hana lawama ila Lukaku akisoea ni full of lawama if you know what i mean
Dyabala is so soft English football inaweza muua yule humuoni Higuain ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Milion 75 tulizotoa ni nyingi sana aisee
huyo Warner unadhani utampata kwa cheap price?? na bado hajaprove chochote mpaka sasa hizo ni type za kina Belotti one season wonder and mid table teams playerMilion 75 tulizotoa ni nyingi sana aisee
umenikumbusha mbali sana, hivi yule fala belotti amepotelea wapi?huyo Warner unadhani utampata kwa cheap price?? na bado hajaprove chochote mpaka sasa hizo ni type za kina Belotti one season wonder and mid table teams player
Wafatiliaji wa mpira kupitia livescore utawajua tu, i can't even bother myself to argue with you!!Kocha yyte yule mwenye uwezo wa kuchukua makombe football is all about trophies sio kama livapool wanaofurahia hugging.
Unamuondoa kocha mwenye makombe 27 kwenye carrier yake unaenda kumchukua kocha aliyeishindwa hata Cardiff city.
Muda mwingine ubora wa kipa huangaliwa ni uwezo wa kuisaidia timu pale inapozidiwa mfano Allison yeye ndo kasaidia liver mechi ya mwisho dhidi ya Napoli hatua ya makundi kwa kuokoa michomo hatari kumbuka hii ilikuwa mechi muhimu sana kwa liver kufuzu hatua inayofuata sasa vitu kama hivyo ndio hufanywa na makipa bora kama De gea, Allison n.k hao mara nyingi tu hadi wanakuwaga man of the match kuwafananisha na kikepa Arrizuamabalaa ni dharau kubwa mechi pekee aliyojitahidi ni dhidi ya city mliyopigwa sita maana zilitakiwa ziwe naneAllison ana enjoy sana ..uwepo wa VVD, Matip, Gomez, Walhunjuhd, Hendo...
Sent using Jamii Forums mobile app
yupo Torino badoumenikumbusha mbali sana, hivi yule fala belotti amepotelea wapi?
niliangalia video yake mara moja tu nikawaambia mashabiki wa chelsea munakwenda kununua kenge, jamaa anajua kutumia kichwa tu kama nyoka
tamaa ziliwaponza torino pamoja na wakala wake, nimeangalia rekodi yake msimu huu ameshafunga magoli 10 SERIE A.yupo Torino bado
Usipoteze muda wako kumjibu attention seeker.Acha uchawi mkuu