Pale Molde (Norway) alishabeba ndoo mara 2. Na kumbuka hii timu ikikuwa haijawahi kuchukua kombe kwa miaka zaidi miaka tangu ianzishwe
Isitoshe OGS ndio yupo kwenye early stages za carrier yake kwahiyo kimafanikio si sawa kumfananisha na Jose
Hakuna anayebisha kwamba Jose ni moja kati ya makocha wenye mafanikio na ninaamini bado anaweza kuwa na mafanikio hata mbele ya safari, lakini kwa United it was no longer working.
Pia Jose huwa ni kocha wa misimu 2, msimu wa 3 lazima aharibu
Kiuwezo kama kocha Jose yupo vizuri lakini tactics sio kila kitu kwenye coaching, kuna suala la kuwa na uwezo wa kumotisha wachezaji wako, pia kuna ishu ya man management skills n.k.
Mfano juzi juzi, Rooney amesema kati ya makocha wote waliomfundisha Van Gaal was a best tactician. Sasa unataka uniambie Van Gaal over all kama kocha anamzidi Fergie?
Kinachonichekesha zaidi option zako unazotoa, eti OGS hana uwezo na timu apewe Pulis. Pulis ni kocha wa kunusuru timu zisishuke daraja, wewe nani amekwambia United inataka kushuka daraja
Sent using
Jamii Forums mobile app