Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hatushangai kupata ushindi

Mechi za kushinda zinaonekana

Leo ilikuwa afe kipa afe beki ,

Halafu pale ni emirates nina rekod nzuri mechi za home EPL ,

Ukija lazima ukubali mm ndio nitawale mchezo ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usingizi nakosa asee, yaani nafungwa na aseno. Kwangu mimi aseno ji kagenge flan tu hivi kuifunga United ni kukoseana heshima. At least ningefungwa na wolves au burnely.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana mech na man city mwenye njaa ya ubingwa

Ana mech na Chelsea

Top 4 itakuwa ni sawa na ngamia kupenya tundu LA sindano

Kwa UCL wawe wakweli tu PSG wamemtoa kwa msaada wa VAR na ujinga wao PSG,

Mpira toka unaanza man u yupo nyuma,

Anavizia counter, PSG wakarelax wakijua mech imeisha , counter zikazaa mabao mawili, na MOJA LA VAR

Lakin kimpira man u anakaa nyuma ,hata Leo dk 20 za mwanzo kakaa nyuma mpaka tulipomfunga ndio kajipapatua kuja mbele

Kwahali hii UCL utakutana na wahuni wanakubemenda mapema

Unaelekea futuhi msimu ujao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee DALOT mbovu sana, nadhani wale walinitukana leo wameona. Yuko very slow. Winga ya kulia ni kama haikuwepo. Hakuna kijana wa academy huko namba 7 aje akamate hapa!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Mtamsema sana huyu kijana na lukaku ambaye ndie mtwishwa msalaba pale united inapofanya vibaya, lkn kiuhalisia rashford ndo alikuwa mzigo hasa pale mbele, na Ole anavomhusudu anaachwa afanye atakalo ila alikuwa ni mzigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mbaya ndio matokeo ya mpira ila binafsi sijalidhika na kiwango Cha Pogba na matic, kwa leo..Fred mchezaji mzuri apewe nafasi ili aweze kijiamini zaidi...GGMU


Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba ni mchezaji mzuri sana sema laana tu ya kumponda Bosi wake aliyemleta pale OT(Jose Mourinho) ndiyo inamtafuna ss hv

"Karma is a bitch"

"Time is wealthy when it's timed consecutively"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angecheza ndio ingekuwaje?

Unapotembelea emirates lazima pale kati use mpole

Kwasasa kuna viwanja vitatu vya kuogopwa unapotembelea kwa mujibu wa takwimu za EPL

1. ETIHAD
2.EMIRATES
3.ANFIELD

Sent using Jamii Forums mobile app
msishindege basi mara moja....fuluh kutuchosha vile mmeshinda game zote
 
Aisee kwahiyo wewe hapo ulipo una uhakika kabisa utaenda uefa msimu ujao kwa kuwa tu umeifunga UNITED?
 
Aisee kwahiyo wewe hapo ulipo una uhakika kabisa utaenda uefa msimu ujao kwa kuwa tu umeifunga UNITED?
Tunacheza na ratiba mzee baba

Mm sina big mechi tena mpaka next season

Wakat wewe unakutana na mnywa damu man city,

Unakuja kukutana na Chelsea ,

Wakati Chelsea ana Liverpool pia

Na tot ana mancity na Liverpool

Nadhan utakuwa umeelewa namaanisha nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unalialia! Kwan umejipangaje?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…