Mkuu mimi ni chelsea, tumefungwa kihalali kabisa. Kuhusu torres nakubaliana na wewe. Kuna goli moja amekosa ni kama alikuwa ana struggle kuokoa. Bora awe anaanza lukaku
Mkuu mimi ni chelsea, tumefungwa kihalali kabisa. Kuhusu torres nakubaliana na wewe. Kuna goli moja amekosa ni kama alikuwa ana struggle kuokoa. Bora awe anaanza lukaku
Mkuu mimi ni chelsea, tumefungwa kihalali kabisa. Kuhusu torres nakubaliana na wewe. Kuna goli moja amekosa ni kama alikuwa ana struggle kuokoa. Bora awe anaanza lukaku
Wengine humu ndani kama wewe mmoja wapo mnaonekana kwenye jukwaa mpaka United afungwe au atoe droo ndio mnaingia kutoka pumba zisizo na akili...Ongea point ya maana kila mtu atakuelewa
mkuu mimi ni chelsea, tumefungwa kihalali kabisa. Kuhusu torres nakubaliana na wewe. Kuna goli moja amekosa ni kama alikuwa ana struggle kuokoa. Bora awe anaanza lukaku