21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
lingine lipo. Mara yenu ya mwisho kuchukua ubingwa wa Epl ni mwaka gani?Mkuu si uliomba matokeo na nimekupatia
Au nimefanya makosa kukupatia
Ila si uliomba wewe mwenyewe
Haya niambia basi kama kuna jambo lingine unataka ufahamishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inabidi tukumbuke lukaku kafunga goli 26+ msimu uliopita kwenye all compee..je timu ikiboreshwa kwenye baadhi maeneo huoni pia na lukaku anaweza kuimarika??
U nail itStriker peke yake hawezi kukupa ubingwa, ubingwa unapatikana Kwa timu nzima kuanzia kipa,beki, viungo na washambuliaji kucheza vizuri , Leicester walichukua ubingwa striker akiwa Vardy.Kwa miaka 3 iliyopita Hary Kane ndio striker bora EPL lakini hajawahi kuwapa Spurs ubingwa.
RVP alicheza Arsenal miaka karibia 10 lakini hakuwapa ubingwa sababu timu ilikuwa mbovu alivyokuja United (ilikuwa timu bora) msimu wa kwanza tu akachukua ubingwa
Romelu Lukaku yupo kwenye top 20 ya wafungaji bora wa muda wote kwenye EPL na ana miaka 25 tu licha ya kuwa na control mbovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa naona ile tabia ya kushabikia watu kama kina Martial inaanza. Huyu dogo ni jipuuuu. Kwa mfano mechi ile na Palace alipwaya sanaa, mpaka Ole akaamua kumtoa na kumuingia Baily namba 2 na Young akasogea mbele namba 7 (alipokuwa huyu kijana) magoli yakamiminika kama uji. Dogo huyu ni JIPUUU.
Kuna tofauti kati ya kukosa nafasi na kipa kuokoaunakumbuka game ya Burnley?? ile ya 2-2
Pogba alipiga kama vile na alipata akatupa point moja iliyofanya tuwe hapa tulipo leo.
Aubameyang hakufanya kama Pogba lakini alikosa pia hata Makambo nae amekosa leo.
watu imewauma kisa Lukaku kukosa kupiga penati ya hat-trick ila wanasahau zile dk 10 za mwanzo shujaa wetu Lukaku amekosa nafasi 2 za wazi za kumpatia hiyo hat trick.
Kaassist bao la tatuFred ana safari fupi United... Kama anakosa nafasi kwa hawa madogo , sjui Msimu ujao kama atabaki.
Haondoki ng'ooooooo na ivi kashaanza kuingia kwenye first elevenGoli ni makosa ya Young,kumrushia mpira mtu aliyezungukwa na maadui...na huyu Lukaku asee!,cant say more ila anachofanya uwanjani ni kujidhalilisha na siku atakayoondoka united nitalewa pombe kwa furaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ilikuwa ni miaka 2 baada ya kumfunga Arsenal goli 8lingine lipo. Mara yenu ya mwisho kuchukua ubingwa wa Epl ni mwaka gani?
Hufai hata ukocha wa kuigiza tuHawa wachezaji hawajatufanyia sawa, hope second half watabadilika. Pia saints wamekuwa na nidhamu sana, wanazuia vizuri pia wanapenda mbele bila woga.
Second half atoke Lukaku na Alexes waingie madogo. Young upande kati kusaidia mashambulizi.
Kuongoza timu si kama kuongoza familia yako hapo nyumbaniNadhani Ole afanye mabadiliko Lukaku and Sanchez ni mizigo ya kiwango cha kimataifa.
Si ukawape wew iyo penatiHuyu Refa ni fala kawanyima Soton penalty ya wazi
Young kajua lini kupiga penatiNashangaa ni kwanini hakumuachia mwenzake aondoke na mpira.
Pogba sio mpigaji mzuri wa penalty,sijui ni kwanini kocha kampa hayo majukumu. MUFC wapigaji wazuri wa penalty ni Mata na Herrera, haya young pia na Martial wanamzidi pogba. Tatizo ni masifa mengi.
Jumapili saa moja na nusu pale emiratesAnaefuata hapa ni arsenal
Goli nneYaani lukaku huyu huyu mechi mbili goli tatu kwa mguu wa kulia!
NishakuelewaYaani lukaku huyu huyu mechi mbili goli tatu kwa mguu wa kulia!
haaahaaa bogas kabisa unazunguka mbuyu, umeulizwa ni miaka mingapi we unaleta ngonjera, unataka kupoteza kuwa mna misimu sita mfululizo hamjachukua kitu, mnakua wasindikizaji tuNadhani ilikuwa ni miaka 2 baada ya kumfunga Arsenal goli 8
Na miaka 5 baada ya kuchukua UCL ya 3 na miaka 5 baada ya kuchukua Club World Cup
Pia ilikuwa miaka 2 kabla hatujachukua FA na miaka 4 kabla hatujachukua Europa League na Carling
Vipi mkuu naendelea kupokea maswali, kama unahitaji ufafanuzi wowote nipo kwa ajili ya watu kama ninyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakin ndo Katupa ushindi.Goli ni makosa ya Young,kumrushia mpira mtu aliyezungukwa na maadui...na huyu Lukaku asee!,cant say more ila anachofanya uwanjani ni kujidhalilisha na siku atakayoondoka united nitalewa pombe kwa furaha.
Sent using Jamii Forums mobile app