Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Solskjær: "At the moment, I'm not sure if #mufc and Antonio [Valencia] will agree on next year.” #mulive [pa]



Ole Gunnar Solskjær has hinted Antonio Valencia’s Manchester United career is over after 10 years, with his contract’s one-year extension not expected to be triggered by its 5pm deadline on Friday.



Tumeanza kuwapunguza sasa ole huyo safisha safisha
 
Mechi kali za vigogo EPL

Machi 2: Tottenham v Arsenal

Machi 10: Arsenal v Man United

Machi 31: Liverpool v Tottenham

Aprili 14: Liverpool v Chelsea

Aprili 20: Man City v Tottenham

Aprili 24: Man United v Man City

Aprili 28: ManUnited v Chelsea
 
Nafikiri Kuna players wakupunguzwa msimu ujao sion km Kuna faida ya kuendelea kuwa na Sanchez msimu ujao km ataendelea kuwa hivi alivyo
Duh hii habari kuwa Degea anataka mshahara kama wa Sanchez ndio amwage wino inawangisha kichwa sana

Kila mchezaji tegemeo akija na style hiyo kuna baadhi ya mastaa tutawashindwa

Inaendelea kujidhihirisha kwamba usajili Sanchez ulikuwa one of the big mistake pale United

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh hii habari kuwa Degea anataka mshahara kama wa Sanchez ndio amwage wino inawangisha kichwa sana

Kila mchezaji tegemeo akija na style hiyo kuna baadhi ya mastaa tutawashindwa

Inaendelea kujidhihirisha kwamba usajili Sanchez ulikuwa one of the big mistake pale United

Sent using Jamii Forums mobile app
De Gea sio muuza jezi ndio maana Woodward anasita kumpa hiyo hela.De Gea anastahili kulipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote wangempa na Ukapteni kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh hii habari kuwa Degea anataka mshahara kama wa Sanchez ndio amwage wino inawangisha kichwa sana

Kila mchezaji tegemeo akija na style hiyo kuna baadhi ya mastaa tutawashindwa

Inaendelea kujidhihirisha kwamba usajili Sanchez ulikuwa one of the big mistake pale United

Sent using Jamii Forums mobile app
A very big mistake..
 
Duh hii habari kuwa Degea anataka mshahara kama wa Sanchez ndio amwage wino inawangisha kichwa sana

Kila mchezaji tegemeo akija na style hiyo kuna baadhi ya mastaa tutawashindwa

Inaendelea kujidhihirisha kwamba usajili Sanchez ulikuwa one of the big mistake pale United

Hili ni tatizo kubwa aisee mambo kama haya kipindi cha babu yalikuwa hayapo kabisa, ishu ni kwamba tulivunja wage

structure ya pale UTD
tulivyomuongeza mkataba Rooney na Baada ya apo Pogs na baadae ndo Sanchez sasa kila top player

tutakae msajili atataka avute mpunga sawa na hao jamaa mpka mwisho wa siku ilitakuwa tatizo kubwa hata ukitaka kuwauza

hawa wachezaji,mfano sahv tukitaka kumuuza Sanchez club chache sana zitakuwa zipo tayari kumlipa huo mpunga tunaompa

ss labda aende china hko,itakuwa yale yale kama ya Rooney tunamuuza everton lakn bado tunaendelea kumlipa nusu ya

mshahara wake!
 
Hili ni tatizo kubwa aisee mambo kama haya kipindi cha babu yalikuwa hayapo kabisa, ishu ni kwamba tulivunja wage

structure ya pale UTD
tulivyomuongeza mkataba Rooney na Baada ya apo Pogs na baadae ndo Sanchez sasa kila top player

tutakae msajili atataka avute mpunga sawa na hao jamaa mpka mwisho wa siku ilitakuwa tatizo kubwa hata ukitaka kuwauza

hawa wachezaji,mfano sahv tukitaka kumuuza Sanchez club chache sana zitakuwa zipo tayari kumlipa huo mpunga tunaompa

ss labda aende china hko,itakuwa yale yale kama ya Rooney tunamuuza everton lakn bado tunaendelea kumlipa nusu ya

mshahara wake!
Yaani ni majanga


Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_20190301_204906.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
De Gea sio muuza jezi ndio maana Woodward anasita kumpa hiyo hela.De Gea anastahili kulipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote wangempa na Ukapteni kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaka ishu ya mauzo ya jezi haya husiani kabisa na kuongezewa mkataba kwa mchezaji,Kwan mfano Jones AU Young anauza jezi?

mbna kaongezewa mkataba mnono tu...hayo maswala ya mauzo ya jezi yalikuwepo zaman tulivyokuwa na mkataba na Nike

ila baadaya Kuhamia Adidas mambo hayaendi hvyo,mauzo yote ya jezi haya endi kwa Club yanaenda kwa ADIDAS ila

kila mwisho wa msimu ADIDAS anaweka mezani kwetu Pound MIL 70 sharti tusitoke nje ya Champions League kwa misimu

miwili mfululizo.
 
Back
Top Bottom