Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kaka ishu ya mauzo ya jezi haya husiani kabisa na kuongezewa mkataba kwa mchezaji,Kwan mfano Jones AU Young anauza jezi?

mbna kaongezewa mkataba mnono tu...hayo maswala ya mauzo ya jezi yalikuwepo zaman tulivyokuwa na mkataba na Nike

ila baadaya Kuhamia Adidas mambo hayaendi hvyo,mauzo yote ya jezi haya endi kwa Club yanaenda kwa ADIDAS ila

kila mwisho wa msimu ADIDAS anaweka mezani kwetu Pound MIL 70 sharti tusitoke nje ya Champions League kwa misimu

miwili mfululizo.
Mkataba wa United & Adidas ni £75m per season na 10%-15% ya mauzo ya jezi yanarudi kwenye klabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh hii habari kuwa Degea anataka mshahara kama wa Sanchez ndio amwage wino inawangisha kichwa sana

Kila mchezaji tegemeo akija na style hiyo kuna baadhi ya mastaa tutawashindwa

Inaendelea kujidhihirisha kwamba usajili Sanchez ulikuwa one of the big mistake pale United

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hela zipo wamlipe tuu, kwani walipokuwa wanamchukua sanchez hawakujua kitatokea hicho.
Pogba nae atafuata.
Hela zipo wampe,

Sent using simu mbovu
 
Mbio za top 4 kwa United

Msimu uliopita Man Utd alikuwa nafasi ya 2 akiwa na points 81, Spurs nafasi ya 3 kwa points 77 na Liverpool nafasi ya 4 kwa points 75

Man Utd kwa sasa ana points 55, kama akishinda mechi zote anamaliza ligi akiwa na points 85. Ina maana akipoteza points 10 kati ya mechi 10 zilizobaki (jambo ambalo ni gumu kutokea) atakuwa na points 75, sawa na za aliyeshika nafasi ya 4 msimu uliopita.

United ana mechi ngumu na City. Mechi ya Chelsea na Arsenal ni ngumu lakini si sana (Na hizi mechi ni 6 pointer).

Endapo katika mechi zilizobaki akipoteza points 4, ataweza kumaliza ligi akiwa na points sawa na za msimu uliopita ambapo tulikuwa washindi wa pili. Swali je jumla ya points za mshindi wa pili wa msimu wa 2017/2018 hazitatosha kumfanya amalize top four? Vipi kuhusu points za mshindi wa tatu ambaye alipata 77? Kiufupi United anayo nafasi kubwa ya kumaliza ligi akiwa wa nne au hata wa tatu.

Katika mechi zilizobaki zipo ambazo tutakutana na wale wapinzani wetu kwenye top 4. Kuwafunga ni kama kupata points 6 dhidi yao, maana umeongeza points zako 3 na umempoka yeye points 3.


Hapo hatujaongelea fixtures zao wenzetu. Mfano Chelsea ana mechi na Liverpool na Man Utd ugenini, ana Wolves na Leicester timu sumbufu kwa vigogo. Sijamsahau Burnley.

Ukija kwa Arsenal ana United, ana Spurs, ana Wolves, Cristal Palace, ana Leicester. Pia yupo Burnley.

Kwanini kwa mazingira hayo United asimalize msimu akiwa top 4?




Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha mpira ungekuwa mrahisi hivi mungekuwa mabingwa miaka yotee..

Yani unajipa uwakika kabisa kwa Arsenal na Chelsea una point sita hahahahaha

Hongera sana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha...sasa hyo 10% ndo kwa mtizamo wako unafikiri inafanya mtu aongezewe mkataba au la??
Huwezi elewa hii kitu

De Gea anagoma kuongeza mkataba sababu anataka aongezewe mshahara kama Sanchez unafikiri why Woodward alikubali kumpa Sanchez huo mshahara lakini anagoma kumpa De Gea.Kwa Woodward ni bora ampe Sanchez ambaye anaamini atarudisha some amount kwenye kuuza jezi na Sanchez alikuja as free agent ( Swap deal with Mkhi klabu haikutoa hela)

Sanchez ndio alikuwa mchezaji anayeuza jezi nyingi akiwa Arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi elewa hii kitu

De Gea anagoma kuongeza mkataba sababu anataka aongezewe mshahara kama Sanchez unafikiri why Woodward alikubali kumpa Sanchez huo mshahara lakini anagoma kumpa De Gea.Kwa Woodward ni bora ampe Sanchez ambaye anaamini atarudisha some amount kwenye kuuza jezi na Sanchez alikuja as free agent ( Swap deal with Mkhi klabu haikutoa hela)

Sanchez ndio alikuwa mchezaji anayeuza jezi nyingi akiwa Arsenal

Sent using Jamii Forums mobile app

Haha..unanichekesha sana aisee hebu nitajie kipa anaeuza jezi kwa mfano? Makipa huwa hata hawauzi jezi...
Sachez alipwa ile hela sababu hatukutumia hela yoyote kumsajili ni sawa na Juve mkulipa Ramsey hyo hela wanayotaka kumpa sababu hawajatoa hela yoyote kumsajili,hvyo hayo maswala hayahusiani na kuuza jezi kabisa ,ishu ya De gea inachelewa sababu ya negotiations ni kama hererra tu,huwezi mpa mchezaji hela yoyote anayotaka lazima m negotiate sio unatoa tu pesa kama fala!
 
Boss na wanae

13o8w5a74jj21.jpg
 
Haha..unanichekesha sana aisee hebu nitajie kipa anaeuza jezi kwa mfano? Makipa huwa hata hawauzi jezi...
Sachez alipwa ile hela sababu hatukutumia hela yoyote kumsajili ni sawa na Juve mkulipa Ramsey hyo hela wanayotaka kumpa sababu hawajatoa hela yoyote kumsajili,hvyo hayo maswala hayahusiani na kuuza jezi kabisa ,ishu ya De gea inachelewa sababu ya negotiations ni kama hererra tu,huwezi mpa mchezaji hela yoyote anayotaka lazima m negotiate sio unatoa tu pesa kama fala!
Why Mkhi analipwa mshahara mdogo hapo Arsenal licha ya wao kutolipa anything kwenye signing fee?

Why CR7 amenunuliwa kwa fedha nyingi na still analipwa mshahara mkubwa ?

Kwa logic yako Woodward alikuwa right kumlipa Sanchez huo mshahara ?

That's was biggest mistake alilofanya na next season Pogba atataka ku-renew contract the same problem itatokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
De Gea sio muuza jezi ndio maana Woodward anasita kumpa hiyo hela.De Gea anastahili kulipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote wangempa na Ukapteni kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa kubwa United itakalofanya ni kumpa DeGea hela ndogo.

Ataona hathaminiwi na ataondoka United.

Wampe hizo hela anazotaka acheze kwa moyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni tatizo kubwa aisee mambo kama haya kipindi cha babu yalikuwa hayapo kabisa, ishu ni kwamba tulivunja wage

structure ya pale UTD
tulivyomuongeza mkataba Rooney na Baada ya apo Pogs na baadae ndo Sanchez sasa kila top player

tutakae msajili atataka avute mpunga sawa na hao jamaa mpka mwisho wa siku ilitakuwa tatizo kubwa hata ukitaka kuwauza

hawa wachezaji,mfano sahv tukitaka kumuuza Sanchez club chache sana zitakuwa zipo tayari kumlipa huo mpunga tunaompa

ss labda aende china hko,itakuwa yale yale kama ya Rooney tunamuuza everton lakn bado tunaendelea kumlipa nusu ya

mshahara wake!
Anauzwa kwa nusu mshahara.

Akigoma atakaa benchi aondoke bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why Mkhi analipwa mshahara mdogo hapo Arsenal licha ya wao kutolipa anything kwenye signing fee?

Why CR7 amenunuliwa kwa fedha nyingi na still analipwa mshahara mkubwa ?

Kwa logic yako Woodward alikuwa right kumlipa Sanchez huo mshahara ?

That's was biggest mistake alilofanya na next season Pogba atataka ku-renew contract the same problem itatokea

Sent using Jamii Forums mobile app

1. Arsenal na sisi ni tofauti usifananishe, wao wana strict wage structure pale toka kipindi cha Wenger,unafikiri kwann Ramsey walishindwa kumuongezea mkataba? vile vile mchezaji akinunuliwa kama free agent sio lazima mshahara wake utaongezeka akisajiliwa na timu nyingine, hyo inategemea na situation nyingi usikariri.

2.Naona unaanza kuchanganya madesa mkuu,CR7 ni one of the best in the world sasa ww unafiriki angenunuliwa kwa pesa ndogo? na mshahara wake uko justified kutokana na perfomance zake uwanjani,point yako haswa hapa n nn?

3.Naona labda umeshindwa kunielewa mzee sijasema wala kuashiria hvyo. soma vizuri post zangu za hapo juu kidgo utaelewa mtizamo wangu kwenye hyo ishu ya kuvuja wage structure.ila hyo haikuwa mada tuliokuwa tunajadili na ww,

Mada hapa ilikuwa napinga hoja/kauli yako ya kuhusianisha mauzo ya jezi na contract extensions kwa wachezaji
 
Anauzwa kwa nusu mshahara.

Akigoma atakaa benchi aondoke bure.

Sent using Jamii Forums mobile app

Akikaa benchi huku tunaendelea kumlipa mamilioni ya pesa hapo imekula kwa nani mkuu?Sanchez anafahamu Umri wake ushaenda na kupata mkataba wenye pesa nyingi kama huu hawezi tena kupata hvyo kukaa benchi hku anaendelea kulipwa mamilion sidhani kama kwake itakuwa ishu...ni kama ilivyokuwaga kwa Bastian Schweinsteiger na MO.
 
Back
Top Bottom