Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi ngumu hapo Manchester city.. Chelsea mara ya mwsho anashinda OT ni miaka sita nyuma... Arsenal popote analiwa tu, Manchester city ndio pagumu.. lkn pia, Arsenal na Chelsea wanakufa kwa club yeyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kuna surprise results kama dhidi ya Burnley

Any way, Arsenal na Chelsea ndio hawatabiriki zaidi ukilinganisha na sisi tunapokutana na vibonde

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nasikitika Manchester United hii ilikuwa sio ya kufikiria kugombania top 4 ila ilikuwa ya kugombania ubingwa ila bwana yule alituaminisha ata hiyo top 4 atustahili alituweka level moja na kina Everton Watford duh ilitutesa wee acha tu
 
Mbio za top 4 kwa United

Msimu uliopita Man Utd alikuwa nafasi ya 2 akiwa na points 81, Spurs nafasi ya 3 kwa points 77 na Liverpool nafasi ya 4 kwa points 75

Man Utd kwa sasa ana points 55, kama akishinda mechi zote anamaliza ligi akiwa na points 85. Ina maana akipoteza points 10 kati ya mechi 10 zilizobaki (jambo ambalo ni gumu kutokea) atakuwa na points 75, sawa na za aliyeshika nafasi ya 4 msimu uliopita.

United ana mechi ngumu na City. Mechi ya Chelsea na Arsenal ni ngumu lakini si sana (Na hizi mechi ni 6 pointer).

Endapo katika mechi zilizobaki akipoteza points 4, ataweza kumaliza ligi akiwa na points sawa na za msimu uliopita ambapo tulikuwa washindi wa pili. Swali je jumla ya points za mshindi wa pili wa msimu wa 2017/2018 hazitatosha kumfanya amalize top four? Vipi kuhusu points za mshindi wa tatu ambaye alipata 77? Kiufupi United anayo nafasi kubwa ya kumaliza ligi akiwa wa nne au hata wa tatu.

Katika mechi zilizobaki zipo ambazo tutakutana na wale wapinzani wetu kwenye top 4. Kuwafunga ni kama kupata points 6 dhidi yao, maana umeongeza points zako 3 na umempoka yeye points 3.


Hapo hatujaongelea fixtures zao wenzetu. Mfano Chelsea ana mechi na Liverpool na Man Utd ugenini, ana Wolves na Leicester timu sumbufu kwa vigogo. Sijamsahau Burnley.

Ukija kwa Arsenal ana United, ana Spurs, ana Wolves, Cristal Palace, ana Leicester. Pia yupo Burnley.

Kwanini kwa mazingira hayo United asimalize msimu akiwa top 4?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mnaishi kwa kukariri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Isingalikua upuuzi wa LVG, Arsenal mara ya mwsho kumfunga Manchester United ingekua 2010.. kwenye mashindano yote.. walitufunga 1-0 goli la Ramsey... kimsingi tokea 2007 tungekua tumepoteza michezo mitatu tu dhidi ya Arsenal

Chelsea mgumu kwake, mm mgumu kwangu, anae nisumbua ni Manchester city since 2012... anashinda popote na mm nashinda popote



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona jamaa alicheza poa tuu. Kama ukiangalia game poa, the last 3 games sanchez amekua akicheza poa tu. Ofcozi ana improve to be fair.

Sent using Jamii Forums mobile app

Anaimprove lakin bado sio mchezaji tulie mnunua ss,jamaa anavuta mpunga mrefu kulko mchezaji yoyote PL yaani zaidi ya Pogba,Aguero,Hazard,De Bruyne,David Silva etc na wakati kiwango anachokionesha sahv hata Lingard hajamfikia. Jamaa sijui amepatwa na nn au ndo umri umeshamtupa mkono kama kina Rooney?
 
m7l3jvje17j21.png


Ndani ya misimu miwili (uliopita na huu) kwenye PL, Pogs amemfunika De Bruyne vibaya!
 
Back
Top Bottom