Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

"We want to attract good players that want to improve the players we have here: Paul Pogba, David de Gea, Anthony Martial and Marcus Rashford.


"All these top players we have - they need players to challenge them because no one should feel 100 per cent secure to be in the starting XI.

Haya ndo mawazo ya kocha anaetakiwa kuifundisha hii timu sio kugawa mikataba kwa kina fellain na valencia

Safi Ole Gunna Solskajaer
Kashapewa jones , five years.
Jones, anaefanya kazi medical team.

Sent using simu mbovu
 
Havikuumi mkuu lakini vina mahusiano na hizo points 3 utazozitaka

Mfano Degea akiondoka kwa kutaka mshahara unaolingana na wa Sanchez, je huoni kama tutakuwa tumepoteza lulu kiasi gani?

Unafahamu degea msimu huu ametupatia points 3 ngapi? Na bila hilo leo tungekuwa wapi kwenye ligi?

Sent using Jamii Forums mobile app
sio msimu huu tu na misimu mingi nyuma amebeba timu na kuweka mabegani kwake.

je akiondoka De Gea hatupata points tatu?? kisa tu yeye hayupo?? De Gea hayupo Man city, Barca wala PSG je hao hawapati points?? De Gea yupo United je United haifungwi yeye akiwa kwenye milingoti mitatu.

by the way napenda sanaa challenges zako hapa jukwaani.

sikupingi na ulivyosema hapo juu ila mimi nataka mchezaji anaedeliver.

ova
 
Provisional squad ....... Degea, Le Grant and the rest
Screenshot_2019-03-02-13-46-16.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unadhani Sanchez bench warmer anastaili kulipwa pesa nyingi vile wakati kipa anayeibeba time mabegani kwake analipwa hela ya chai tu? Kwa uwezo alionano De Gea alipaswa awe kipa ghali zaidi kwa sasa ..lakin ndo kipa mwenye mshahara unaolingana na kipa wa westham au Watford uko..

Kwa hili me naunga mkono kabisa ..kma De Gea asipoongezewa donge mono asisaini mkataba ni asepe zake bure..

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha...ww De gea hapo alipo anakula almost paund 200,000 kwa week hakuna keeper anaekula hyo hela pale PL na nadhani hata duniani ss yeye anatka paund 300,000 na ushee, yaani itakuwa ni record ya Dunia kwa Keeper kulipwa hela hyo.
 
sio msimu huu tu na misimu mingi nyuma amebeba timu na kuweka mabegani kwake.

je akiondoka De Gea hatupata points tatu?? kisa tu yeye hayupo?? De Gea hayupo Man city, Barca wala PSG je hao hawapati points?? De Gea yupo United je United haifungwi yeye akiwa kwenye milingoti mitatu.

by the way napenda sanaa challenges zako hapa jukwaani.

sikupingi na ulivyosema hapo juu ila mimi nataka mchezaji anaedeliver.

ova
Tupo pamoja mkuu,

Na ninaiona hoja yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee utamu wa top 4 inatakiwa uwe wa nafasi mbili za kugombaniwa(spurs,man utd,chelsea na asernal)
Binafsi sitaki spurs awe safe nataka chance iwe kubwa kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Spurs anatakiwa kushinda au kudraw leo.ampunguzie arsenal speed.
Arsenal ana mechi rahisi on paper, tofauti na sisi.
Anyway spurs atapigwa tuu huko mbele ana liver na City.
Mi naomba draw leo. Na sisi tushinde leo.

Sent using simu mbovu
 
Hivi unadhani Sanchez bench warmer anastaili kulipwa pesa nyingi vile wakati kipa anayeibeba time mabegani kwake analipwa hela ya chai tu? Kwa uwezo alionano De Gea alipaswa awe kipa ghali zaidi kwa sasa ..lakin ndo kipa mwenye mshahara unaolingana na kipa wa westham au Watford uko..

Kwa hili me naunga mkono kabisa ..kma De Gea asipoongezewa donge mono asisaini mkataba ni asepe zake bure..

Sent using Jamii Forums mobile app
naomba nikusahihishe hapo kwa De Gea

De Gea ndo kipa anaelipwa mshahara mkubwa zaidi duniani kuliko kipa yeyote yule

De Gea analipwa mshahara mkubwa kuliko mchezaji yeyote wa Arsenal ukiondoa Ozil

De Gea analipwa sawa na Salah na Hazard ukiondoa hao hakuna mchezaji mwingine wa timu hizo anaemfikia De Gea


usirudie tena kumfanisha na hizo takataka za Everton sijui Westham
 
Kwa mshahara wa Sanchez United walifanya makosa

Lakini unaposema degea analipwa mshahara sawa na makiwa wa Watford au Westham unataka kuchangamsha tu jukwaa

Labda kama unamaanisha timu nzima ya Watford na Westham

Degea kwa sasa analipwa 270k a week, probably anamzidi Hazard wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Harzard na De Gea wanacheza nafasi tofauti ..nafasi ya De Gea ni muhimu zaid pengin kuliko hata ya Hazard..

Sasa kama ni hivyo bas ni khalali yake kabisa kutaka kulipa zaid ya Sanchez..

Kwani Harzad umesikia akililia mshahara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha...ww De gea hapo alipo anakula almost paund 200,000 kwa week hakuna keeper anaekula hyo hela pale PL na nadhani hata duniani ss yeye anatka paund 300,000 na ushee, yaani itakuwa ni record ya Dunia kwa Keeper kulipwa hela hyo.
Iyo ni sawa kabisa ..kwa jinsi anavyosave ni hali yake Kutaka kulipwa zaidi ..sasa kaa Sanchez anaingiza paund laka tano uko, je ana goli ngap? ana assists ngap? Pass accuracy je?

Huoni mchango wa De gea na Sanchez ni tofaut kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najaribu kujiuliza je, hamna option nyingine nje ya club mfano Jordan Pickford, Oblack, au hata ndani ya club mfano Romero na Henderson (kama sikosei anaitwa hivyo) ambaye yupo nje kwa mkopo na Juventus wanamnyapia?

Tatizo la kukubali kila takwa la mchezaji mkubwa ni kutengeneza misingi kwa wachezaji wengine siku za mbele. Wachezaji watakuwa wanataka hela ndefu kupita uhalisia.



Sent using Jamii Forums mobile app

Makeeper wazuri wapo mkuu sema tu tumetokea kumpenda De gea na kwa kuwa yupo pale muda mrefu ila hzo tamaa zake mimi ndo zinanikera,Oblak wa Atletico minaona hawajatofautiana sana na De gea kwa uwezo au hata yule dogo wa Milan Donarumma ni mdgo lakin tayari ni World class kwa mtizamo wangu!
 
naomba nikusahihishe hapo kwa De Gea

De Gea ndo kipa anaelipwa mshahara mkubwa zaidi duniani kuliko kipa yeyote yule

De Gea analipwa mshahara mkubwa kuliko mchezaji yeyote wa Arsenal ukiondoa Ozil

De Gea analipwa sawa na Salah na Hazard ukiondoa hao hakuna mchezaji mwingine wa timu hizo anaemfikia De Gea


usirudie tena kumfanisha na hizo takataka za Everton sijui Westham
Sasa kma analipwa huo mshahara mkubwa kuliko Harzad na Salah Si atulie anataka mwingine wa nini..? Au anaona wivu Sanchez Bench Warmer anapigwa li paund laki tano uko na yeye anapambana na mishuti ya haja kila Siku golini anataka apewe huo mshahara..!!

Hivi unadhani mgt itakubali? na kama man u wakikubali basi watafungua njia kwa wengine kutaka mishahar minono zaid..

Kwa iyo ni bora asepe tu mtafute kipa mwingine..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom