Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Matokeo haya yamempandisha LFC had kileleni mbio za ubingwa huku yakimtoa Nyumbu top 4.
Lete swali lingine la kizushi

Sent using Jamii Forums mobile app
Looserfools mmeumizwa zaidi na haya matokeo, kutoka points 7 dhidi ya City mpaka leo point 1

Hamna timu ya kuchukua kombe pale, mwaka wa 30 sasa ...... Tangu 1990 kipindi hicho ni ligi daraja kwanza

Na mwisho wa msimu mtadhihirisha kwamba nyie ni Looserfools

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekosa swali lingine la kizushi? naona ngonjera nyingi na historia
Looserfools mmeumizwa zaidi na haya matokeo, kutoka points 7 dhidi ya City mpaka leo point 1

Hamna timu ya kuchukua kombe pale, mwaka wa 30 sasa ...... Tangu 1990 kipindi hicho ni ligi daraja kwanza

Na mwisho wa msimu mtadhihirisha kwamba nyie ni Looserfools

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeuliza mechi ya aina gani kabla kunijibu. Sizungumzii performance,nazungumzia majeruhi. Wachezaji watatu wanaumia ndani ya dakika 25! Kwa matokeo haya ni kama United wameshinda.
Mmmm kwahiyo ushindi ndo huu. Dah.
 
.
20190224_204700.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Umeangalia game ya leo vizuri, ni hakika Liverpool hastahili kuwa bingwa wa EPL na hatakuwa bingwa wa EPL... Walitawala mchezo kiasi fulani but sisi tulikuwa hatari zaidi yao.....

Scot and pereira wamecheza vizuri sana na wanastahili pongezi... tunauhitaji mkubwa sana wa viungo tunauhitaji sana na kama leo Solskjaer hajaona hili basi haji kuona tena kama tunamatatizo ya viungo wazuri ili akiumia mmoja mwingine akakiwashe....

Backline nzima imecheza vizuri...shaw is back at his best. Victor alikuwa poa smalling too hata young amejitahidi... .

Naangalia game ya Dortmund hapa hebu aje Sancho Wakuu namba 7 yetu imepoa kinoma hadi sio vizuri... Namba 10 yetu ndo kama hv... yan Man u huwa tuna namba 10 wazuri ni safari hii tu tunapwaya....sanchez bhana sijui ilikuwaje. ...

Naipenda sna hii timu wakuu mimi mpaka mda flani nliwaza labda nasisi tuchangie hata elfu 3 kwa kila shabiki wa Man u duniani.... Naimani tutawanunua Koulibally na sancho kwa pamoja.....but ndo hvo chamsingi timu isajili na director awepo aongoze mapinduz yani hatuna timu ya kuchukua EPL ingawa wachezaji wanajitoa sana....tuwaongezee watu wakazi hata 5 tupimane ubavu na wakubwa wa ulaya next season

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ume-make sense kinoma mkuu

No 7 na no 10 ndo nafasi za muhimu zaidi ambazo inabidi tutafute watu wenye uwezo wa hali ya juu..
Kama Umeangalia game ya leo vizuri, ni hakika Liverpool hastahili kuwa bingwa wa EPL na hatakuwa bingwa wa EPL... Walitawala mchezo kiasi fulani but sisi tulikuwa hatari zaidi yao.....

Scot and pereira wamecheza vizuri sana na wanastahili pongezi... tunauhitaji mkubwa sana wa viungo tunauhitaji sana na kama leo Solskjaer hajaona hili basi haji kuona tena kama tunamatatizo ya viungo wazuri ili akiumia mmoja mwingine akakiwashe....

Backline nzima imecheza vizuri...shaw is back at his best. Victor alikuwa poa smalling too hata young amejitahidi... .

Naangalia game ya Dortmund hapa hebu aje Sancho Wakuu namba 7 yetu imepoa kinoma hadi sio vizuri... Namba 10 yetu ndo kama hv... yan Man u huwa tuna namba 10 wazuri ni safari hii tu tunapwaya....sanchez bhana sijui ilikuwaje. ...

Naipenda sna hii timu wakuu mimi mpaka mda flani nliwaza labda nasisi tuchangie hata elfu 3 kwa kila shabiki wa Man u duniani.... Naimani tutawanunua Koulibally na sancho kwa pamoja.....but ndo hvo chamsingi timu isajili na director awepo aongoze mapinduz yani hatuna timu ya kuchukua EPL ingawa wachezaji wanajitoa sana....tuwaongezee watu wakazi hata 5 tupimane ubavu na wakubwa wa ulaya next season

Sent using Jamii Forums mobile app
 
man u yetu bado sana. tukipata kocha kama warnoc yule jamaa aliyefukuzwa huddlesfield atatufaa sana. Tukimkosa bora tumchukue yule Tony Pulis alikuwaga anainoa Stoke city na west brom.

Bila ivo man u itazidi kupotea. Sanchez tumpe muda.

GGMU


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom