GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Unachokisema kinawezekana, lakini Mara nyingi nimeona mchezaji asipooneka wakati wanaingia hotelini, huwa hayupo kwenye mechi husika.Iv kutoonekana ni lazima hatokuwepo au inawezekana pia akawepo licha ya kutoonekana hotelini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using simu mbovu