Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,611
- 4,119
here we are,
Kuwa na akiba ya maneno.Arsenal tulimfunga kwake.
Leo Chelsea tumemfunga kwake.
Tunaomba mechi ijayo tupangwe na City pale Etihad.
Fainali tutacheza na Millwall.
Man Utd ni kiboko ya vigogo.
Hahahaha unafungwa na timu ambayo haijakamilika wakati wewe umekamilika kila kitu..
Wewe huna mpira wa kuifunga Chelsea kama PSG umemshindwa.
Nyumbani anakutandika mbili nunge..
Man city dawa yao wataipata tarehe 25..
Cc.@Ollachuga Oc
Kama ambavyo ulikimbia baada ya kufungwa 6 afu ukarudi baada ya sisi kufungwa na PSG, basi karibu leo kutupa hongera zetu
Kwa nini uteseke????![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo kazi yao. Wameajiriwa kwa kazi hiyo kufunga.Hii timu wafungaji ni wale wale
a tree is known by its fruit