Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Game ilikuwa nzuri sana, wachezaji wote wamecheza vizuri, kazi kazi kila mchezaji alibeba msalaba wake... Wachezaji wamepewa uhuru wa kufanya wanachotaka, lakini mpira ukipotea kwenye himaya yetu, wote wanakaba mpaka kivuli. Nimekuwa nikiwaza ilikuaje PSG wakatufunga kwa mpira ule, anyways hii ndio Man United. Wachezaji wako radhi kufia uwanjani kweli wanajituma sana halafu sijui kwa nini Herrara hapewi mkataba mpya, huyu jamaa ananikosha sana ni mpambanaji asiyechoka.
 
.
51185871_816418932055020_4331122117134811060_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game ilikuwa nzuri sana, wachezaji wote wamecheza vizuri, kazi kazi kila mchezaji alibeba msalaba wake... Wachezaji wamepewa uhuru wa kufanya wanachotaka, lakini mpira ukipotea kwenye himaya yetu, wote wanakaba mpaka kivuli. Nimekuwa nikiwaza ilikuaje PSG wakatufunga kwa mpira ule, anyways hii ndio Man United. Wachezaji wako radhi kufia uwanjani kweli wanajituma sana halafu sijui kwa nini Herrara hapewi mkataba mpya, huyu jamaa ananikosha sana ni mpambanaji asiyechoka.
Wakapambane hivyo hivyo wakienda Ufaransa kama walivyo pambana juzi kati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na huyo Martial aangalie mpira hapa, kila mchezaji anapambana kivyake, Lukaku anasumbuka kule Mata anazunguka kote Rashford yuko moto...Yeye alizoea kukaa pale mbele kushoto anasubiria mipira!!!! na asipone kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa una chuki na martial naangaliaga sana comment zako kila tunapocheza lazima utamdiss martial

.
 
MATIC nilimuona leo na kocha kwa kujua jukumu alilokua anatekelezea akaamua kuvumilia kutokumtoa akiamin hatapewa red....alipewa onyo 2 za mwisho. Matic impacted too the match
Nadhani alikuwa anaogopa sana Matic kupigwa umeme

Maana mechi ijayo dhidi ya Liverpool angeikosa na ingekuwa balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom