Game ya leo tunakaliwa kooni. Chelsea nawaona I wagumu kwetu next to City. Wanacheza mpira wa physique sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kusema Icardi ni average player.?Kwenye umri nimechanganya kidogo, nimekubali kusahihishwa
Lakini kuhusu yeye kutoitwa National Team sababu ya Messi hiyo ni theory inayojaribu kuelezea kwanini anaachwa, na theory sio reality
Ukweli ni kwamba kocha anaona Aguero, Higuan, Dyabala, Messi & co. kuwa mbele yake kiuwezo
Icard hawezi kuwa upgrade ya United foward line.
Ukiangalia hata stats za magoli, Mauro ana goli 9 msimu huu, Rash ana 9, Martial nadhani ana 9 pia. Lukaku ana goli 8, japo yeye amefunga goli kila baada ya dakika 178 wakati Mauro yeye amefunga goli kila baada ya dakika 185
United hatakiwi kusajili average player kwa sasa. Anapaswa kusajili mchezaji atakayeleta tofauti kikosini
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ,kwa klabu kubwa kama United
Chong! chong...... Hata sub hayupo
Ninataka kusema hawezi kuongeza chochote kwa kulinganisha na watu ambao tayari wapo OT
Kocha nilisikia alisema atawapa chansi naona kabadili gia anganiChong! chong...... Hata sub hayupo
Sent using simu mbovu
Javier Hernandez "Chicharito"..ashawafunga sana hawa chelsea..alikuwa anajua sana kujipositionLets be honest united fans mauro icardi sio avarage player nmeangalia sana game za inter jamaa anajua haswa kujiposition utaweza hisi anafunga magoli rahisi ila ni kutoka na ability yake ya kujiposition yaan kujiweka mahali husika muda sahihi kwa wasiojua kiingereza ni update vision ya chicharito hernandez so to me he is a good striker to united
Lets be honest united fans mauro icardi sio avarage player nmeangalia sana game za inter jamaa anajua haswa kujiposition utaweza hisi anafunga magoli rahisi ila ni kutoka na ability yake ya kujiposition yaan kujiweka mahali husika muda sahihi kwa wasiojua kiingereza ni update vision ya chicharito hernandez so to me he is a good striker to united
Peter cech mpk leo ukimuuliza mshambuliaji gani anayemuogopa jibu ni Chicharito coz alikuwa anajipigia CHELSIX kama anacheza na mademu zakeJavier Hernandez "Chicharito"..ashawafunga sana hawa chelsea..alikuwa anajua sana kujiposition