Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Imebainika kuna Watu hawashiriki kwenye Matukio ya Kijamii yasiyokuwa Misiba! Kwahiyo husubiri misiba tu kwa Majirani ndiyo huibuka kwa kufata kula.

Kwahiyo Kwenye Kamati tulikubaliana kuwa Kula Kila Mtu Kwao.
Mkuu naona kama kuna dalili za msiba mwingine.
 
Spurs na rekodi ya ajabu
Hajasuluhu hata game moja
Screenshot_20190210-200036.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma comment zote za wanaojiita mashabiki wa UTD, nafurahi kwa kuwa naona wengi wameibuka kati hapa baada ya OGS kushika timu. Sasa hivi wamekaza vidole gumba vyao kuibeza Chelsea kwenye game ya leo. Hehee niseme kifupi tu kazi ipo leo siyo kinyonge kama mnavyodhani.

Tambueni mi nikidraw tu nawatoa top four nyie sijaongelea ushindi hapo. Hata nikifungwa bado nafasi ya kurudi ninayo halafu mnachojisahaulisha ni kama vile hamtokuja kufungwa wakuu TIME WILL TELL. Hahaaa I Love This Game.

1900 PM

Sent using Jamii Forums mobile app

Man city akiongeza goli la 6 badi chelsea nayo inakuwa nafasi ya 6
 
Back
Top Bottom