Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Kwahiyo unaota ubingwa? Manake kwenye Reality huwezi kufikiri hivyo.
Jinsi ulivyoelewa sio tatizo langu mkuu,huwezi kuota jambo ulilozoea kulifanya labda wale ambao hawajazoea na hawajawahi since mfumo wa vyama vingi uanze TzKwahiyo unaota ubingwa? Manake kwenye Reality huwezi kufikiri hivyo.
Tofauti yetu na anayeongoza ligi mpaka sasa ni points 14Lete mrejesho sasa
Madrid nao wameamua kutumia academy hahahahaha kweli pesa hakuna sio bongo tu hadi ulaya
HATUFUNGWI isave hii comentNimesoma comment zote za wanaojiita mashabiki wa UTD, nafurahi kwa kuwa naona wengi wameibuka kati hapa baada ya OGS kushika timu. Sasa hivi wamekaza vidole gumba vyao kuibeza Chelsea kwenye game ya leo. Hehee niseme kifupi tu kazi ipo leo siyo kinyonge kama mnavyodhani.
Tambueni mi nikidraw tu nawatoa top four nyie sijaongelea ushindi hapo. Hata nikifungwa bado nafasi ya kurudi ninayo halafu mnachojisahaulisha ni kama vile hamtokuja kufungwa wakuu TIME WILL TELL. Hahaaa I Love This Game.
1900 PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kimahesabu Academy ni ghali zaidi,mnaweza kuwa na vijana 100 mkapata vichwa vi 3, pesa kidogokidogo kwa muda mrefu, huyu Vinicius Jr amenunuliwa muda mrefu sana, uwekezaji WA muda mrefu,nasisitiza InawezekanaMadrid nao wameamua kutumia academy hahahahaha kweli pesa hakuna sio bongo tu hadi ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu ni kwamba watampa pogba ili wasimkwaze
Guadiola naye nimemsikia anaota hivyo nduguKwahiyo unaota ubingwa? Manake kwenye Reality huwezi kufikiri hivyo.
Nimesoma maneno yako hadi mwisho na maneno ya mwisho umeandika "Hahahaaa i love this game" haya maneno anasemaga patrice evra mwenye DNA ya united...sasa wew kuna namna una DNA ya man u..bora utusapot tuNimesoma comment zote za wanaojiita mashabiki wa UTD, nafurahi kwa kuwa naona wengi wameibuka kati hapa baada ya OGS kushika timu. Sasa hivi wamekaza vidole gumba vyao kuibeza Chelsea kwenye game ya leo. Hehee niseme kifupi tu kazi ipo leo siyo kinyonge kama mnavyodhani.
Tambueni mi nikidraw tu nawatoa top four nyie sijaongelea ushindi hapo. Hata nikifungwa bado nafasi ya kurudi ninayo halafu mnachojisahaulisha ni kama vile hamtokuja kufungwa wakuu TIME WILL TELL. Hahaaa I Love This Game.
1900 PM
Sent using Jamii Forums mobile app
yule dogo anajua kinoma af yupo humble mi ni barca ila kale katoto kanajuaMadrid nao wameamua kutumia academy hahahahaha kweli pesa hakuna sio bongo tu hadi ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajidanganya big timeNimesoma comment zote za wanaojiita mashabiki wa UTD, nafurahi kwa kuwa naona wengi wameibuka kati hapa baada ya OGS kushika timu. Sasa hivi wamekaza vidole gumba vyao kuibeza Chelsea kwenye game ya leo. Hehee niseme kifupi tu kazi ipo leo siyo kinyonge kama mnavyodhani.
Tambueni mi nikidraw tu nawatoa top four nyie sijaongelea ushindi hapo. Hata nikifungwa bado nafasi ya kurudi ninayo halafu mnachojisahaulisha ni kama vile hamtokuja kufungwa wakuu TIME WILL TELL. Hahaaa I Love This Game.
1900 PM
Sent using Jamii Forums mobile app
What a shame absolutely ridiculousReporter: Jose with this kind of performance, will you manager to top 4??
Jose: i think we need a miracle.
Jose: 17 games | 26 points | 0 GD
Ole: 9 games | 25 points | 17 GD
now we are in the top 4 after 9 games
what a miracle???????????????????
Madrid nao wameamua kutumia academy hahahahaha kweli pesa hakuna sio bongo tu hadi ulaya
Inawezekana kimahesabu Academy ni ghali zaidi,mnaweza kuwa na vijana 100 mkapata vichwa vi 3, pesa kidogokidogo kwa muda mrefu, huyu Vinicius Jr amenunuliwa muda mrefu sana, uwekezaji WA muda mrefu,nasisitiza Inawezekana
Mkuu tunguli na ramli zinaruhusiwa lakn kwa hii united sasa hivi andaa panadol za kutosha we are the famous Manchester UnitedNimesoma comment zote za wanaojiita mashabiki wa UTD, nafurahi kwa kuwa naona wengi wameibuka kati hapa baada ya OGS kushika timu. Sasa hivi wamekaza vidole gumba vyao kuibeza Chelsea kwenye game ya leo. Hehee niseme kifupi tu kazi ipo leo siyo kinyonge kama mnavyodhani.
Tambueni mi nikidraw tu nawatoa top four nyie sijaongelea ushindi hapo. Hata nikifungwa bado nafasi ya kurudi ninayo halafu mnachojisahaulisha ni kama vile hamtokuja kufungwa wakuu TIME WILL TELL. Hahaaa I Love This Game.
1900 PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinsi ulivyoelewa sio tatizo langu mkuu,huwezi kuota jambo ulilozoea kulifanya labda wale ambao hawajazoea na hawajawahi since mfumo wa vyama vingi uanze Tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi soma nilicho andika. Sijasema nitashinda, nimeongelea kufungwa, draw na kushinda. Nimeongelea nyie kutubeza sisi huku mnajisahau match zina matokeo matatu. Hata nikifungwa leo nasema hiyo nafasi nakushusha anytime.Mkuu unajidanganya big time
Mechi ya leo kati ya Chelsea na City tunaenda kuangalia tu utafungwa magoli mangapi na kuona hayo magoli yataingiaje lakini lazima kichapo kiwahusu
Na wakati Chelsea anajipanga kurudi top 4, United watakuwa wanamtafuta Spurs top 3
Sent using Jamii Forums mobile app