Northman
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 1,587
- 2,511
Ndugu zangu, naomba kwa umoja wetu au mmoja mmoja, pindi utakapopata muda upite kwa majirani zetu ambao walikua na mgonjwa lakini alipoanza kula wakahisi amepona, sasa taarifa ni kwamba mgonjwa huyo amekufa (Chelsea), naomba mtu akipata muda apite pale msibani kuwapa pole maana ule msiba ni mzito sana kwao, bila sisi kuwafariji watakua katika hali mbaya sana, huenda wengine wakajiua kabisa maana hawajawahi kupata msiba kama huu.
Maendeleo hayana team...
Maendeleo hayana team...