Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Nakumbushia hii kauliMkuu unajidanganya big time
Mechi ya leo kati ya Chelsea na City tunaenda kuangalia tu utafungwa magoli mangapi na kuona hayo magoli yataingiaje lakini lazima kichapo kiwahusu
Na wakati Chelsea anajipanga kurudi top 4, United watakuwa wanamtafuta Spurs top 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
