Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu unajidanganya big time

Mechi ya leo kati ya Chelsea na City tunaenda kuangalia tu utafungwa magoli mangapi na kuona hayo magoli yataingiaje lakini lazima kichapo kiwahusu

Na wakati Chelsea anajipanga kurudi top 4, United watakuwa wanamtafuta Spurs top 3

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbushia hii kauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jirani ananyoa tu kiulaini. Chelsea wanafundishwa soka. Dk 18 goli 3
 
Back
Top Bottom