Tushawapa ushindi hawa vibonde
Mwosha huoshwa! Mlichomfanya Arsenal lao halali yenu!
Hii game bado tuna uwezo wa kushinda,jamaa defence yao inashake tukiongeza pressure tutarudisha,ikifika dakika ya 70 aingie Chicharito atoke Wellback
Hii game tunaweza kupoteza hii maana naona leo hatujatulia kabisa
Naona weekend yako inaisha vibaya Belo......Tushawapa ushindi hawa vibonde
Hii game tunaweza kupoteza hii maana naona leo hatujatulia kabisa
ndo hivyooo...
Pole..........................Na m'bado..........Gademu..nimeacha kuangalia na mechi kabisa!! Aggrrrr