Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yamekuwa hayo tena?

Mkuu binafsi chama langu linakipiga kesho ila leo nilipenda sana Man U ashinde ili 4th place iwe na ushindani zaidi. Mnawapa mdomo hao jamaa wa darajani.

By the way si ajabu leo Torres nae akapiga bao!!
 
Manchester walivyozidiwa magoli mawili ya kubakizwa na kiki kali hadi kujifunga
 
Afadhali aingie babu mwenye uchungu na hii timu
 
Back
Top Bottom