Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Torres Leo asipofunga ujue Drogba akirudi kutoka Africa ameenda kuzidi ku renew Hirizi yake ndio number hapati tena.
 
Ilo Goli sizani kama Evans wakulaumiwa ata Evra pale alifanya uoga wa Penalt kuogopa kageuzwa kilaini sana kama Chapati ya maji!
 
United wakitaka kushinda hiyo Game Ashley Cole na Valencia wawe kwenye top sana ya game yao hapo ndio utaona Chelsea watavyoumia.
 
Bila kujali matokeo yatakuwaje, kwa moyo wangu wote nawaombea mabaya utd! Nyie si mashetani?! Mshindwe, mlegee, na mnyong'onyee kabisa...haahaahaaa!!
 
Timu imecheza vizuri. Ila kipindi cha pili SAF inabidi aingize mtu pale kati ili aongoze spidi ya mashambulizi.
Hawa wetu.
 
Back
Top Bottom