Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

acha kuandika upuuuuz wako hapa watu tushabet mzigo wa maaana chelc anakufa leo.
 
Mechi ipo kama kawaida saa 1 usiku uselete mipasho apa
 
Mechi ipo kama kawaida saa 1 usiku uselete mipasho apa

Matatizo ya kukurupuka kuanzisha thread bila kuwa na data za uhakika. Man U leo lazima kieleweke kwa maana ya kufungwa.
 
leo mzee alex ataleta ule msukule wake tu upo kama mdoli hivi chelsea tunashinda drogba kashapaa jana usiku man mpo.
 
leo mzee alex ataleta ule msukule wake tu upo kama mdoli hivi chelsea tunashinda drogba kashapaa jana usiku man mpo,natania tu mjomba.
 
Mechi ipo...dstv wanaonesha stamford bridge saiv wanazungumzia hyo mechi ya saa 1 jioni
 
Kufuatia uwanja wa darajani kuganda na barafu mechi iliyokuwa ipigwe katika dimba hilo imepigwa stop na itapangiwa siku nyingine.

Nadhani hii ndo itaamua bingwa ni nani>source sky sports news saa 7mchn!
mmmmhhhhhh stori nyingine jf bana,mbona naangalia dstv na mechi karibu inaanza?
 
Back
Top Bottom