lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,198
- 28,080
Sanchez kama bdo hasomeki hivi
Aombe kubadili namba ya jezi.
Sanchez kama bdo hasomeki hivi
Sure aisee ile namba 7 naona inafanya hajiamini na kutaka kuprove somethingAombe kubadili namba ya jezi.
Sure aisee ile namba 7 naona inafanya hajiamini na kutaka kuprove something
Au ndio madhara ya kuwa na benchi la ufundi linalosikiliza sana wachezaji? Kwa sababu siyo Leo tu hata game ya tot na arsenal kuna kipindi wachezaji walionekana wazi wako hoi sana
Mechi kubwa Mo alikuwa ni bingwa sana. Kimbinu Mo yuko smart sema falsafa yake, rigidity na uwezo mdogo wa kiuongozi ndo vinamkwamisha.Kila nikiikumbuka ile mechi bora ya msimu uliopita huwa najiuliza wale city tuliwapigaje comeback mpaka ile game kuchaguliwa kuwa mechi bora ya msimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasomeki kabisa..akiendelea hivi mwisho wa msimu aondoke aiseeSanchez kama bdo hasomeki hivi
Arsenal na chelsea wote bado tuna game nao mkuuYah upo sahihi kwa timu kama Chelsea ambayo tutacheza nayo mbeleni lakini arsenal tushamalizana nao so we must wish them bad luck ambacho ni kawaida kwenye game. Angalia tulipokua wakati Jose anaondoka kama sio kufanya vibaya hawa jamaa kwenye mechi zao tusingekuwa karibu nao pamoja na kushinda kwetu mechi zote hizo under OGS.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile mechi kipindi cha kwanza kilivyoisha nilitoka banda la mpira na kuelekea nyumbani nilijua tutapigwa kama kipindi kle enzi ya kna Balotelli ,baadae nilivyojulisha matokeo sikuamini kabisaKila nikiikumbuka ile mechi bora ya msimu uliopita huwa najiuliza wale city tuliwapigaje comeback mpaka ile game kuchaguliwa kuwa mechi bora ya msimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa wampe timu, wampe ela aboreshe timu, anatosha
Tumepiga hatua kiasi but lots of improvement inahitajika mfano mzuri ya jana hatukuwa poa kabsa tunatakiwa before atujaenda kucheza game na liver basi game yetu na fulham turudi katika ubora tuliocheza game za nyuma ambazo hatuku struggle kupata matokeo kila game mbele yetu tunahitaji point 3 muhimu no matter tunacheza na nan tumepoteza game nyingi sana kipind cha mou..
Asante mashujaa wangu wa Man U, naomba mkaze tuwachomee na Chelsea hapo big 4. Najua mswahili mwenzangu rashid(Rashford) utaisoma hii SMS na kuwajulisha mashujaa wengine hapo OT.
Hahaha unawaza kumchomoa Chelsea wakati Arsenal kamaliza kibarua chake kigumu.Asante mashujaa wangu wa Man U, naomba mkaze tuwachomee na Chelsea hapo big 4. Najua mswahili mwenzangu rashid(Rashford) utaisoma hii SMS na kuwajulisha mashujaa wengine hapo OT.
Concern yako ni sahihiMkuu tusijitape kumpita arsenal
Kumbuka mzunguko wa pili arsenal kashacheza na liver man city na chelsea
Sisi tumecheza na totenham tu
Tusijisifu sana mkuu
All in all GGMU
Sent from my iPhone using JamiiForums
Concern yako ni sahihi
Lakini Arsenal amedhihirisha kwamba anaweza kupoteza game hata kwa timu "vibonde" mfano Brighton, Westham, Southampton n.k
Lakini pia United pamoja na mechi ngumu walizonazo, game zote ukiacha ya Arsenal tutakuwa OT
Lakini naielewa concern yako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app