Stephen M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 372
- 379
Akiwafunga hao jamaa itakuwa nzuri kwetu hasa tukifanya vizuri kwenye game zetu maana tushaanza punguzwa kasi.kesho ni must win game ,
And please City shinda mechi hizo mbili (vs arsenal &Chelsea), halafu sisi tutafanya kitu Feb 24(vs Liverpool).
'Nina wasiwasi na huyu city kwenye hizi mechi mbili, Mara huyo kapigwa na arsenal.'
ANYWAY hebu tushinde mechi zetu kwanza. Let's go OLE's ARMY.
Sent using Jamii Forums mobile app