Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
maybe, ila kwa game ya leo sijaona tatizo la Perreira au pengo la Herrera kama nafasi zilitengenezwa kutosha ni umakini tu ndo uliyotukosesha points na ubora wa kipa wa upinzaniHatuangalii tu lile kosa,ila yeye na Mc tominay wanazidiana nini??
Ukiwa kiungo inabidi uwe mbunifu kidogo,hutakiwi ucheze vitu basic tu dakika zote 90..
Perreira lacks some midfield quality
Sent using Jamii Forums mobile app
shots on goal 20+...2 goals