Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naimani nyuma ya pazia Ed na board wanahangaika sana kupata director of football pia naamini wanahangaika kukusanya taarifa za scouts kuhusu wachezaji wanaoweza kutufaa kuelekea msimu ujao...... Natamani team ingetumia walau paund mil 400 hiv kupata wachezaji 5 tu watuongezee nguvu.... Beki ya kati de light au Koulibally ni sawa... beki no 2 tupate mchezaji mwenye 27/28 ili dalot akue vizuri..... Kiungo mkabaji natamani sana tusajili Ndombele au Neves ingawa ndombele ni bei chee sana kuliko Ruben Neves namba 7 inabidi tutafute kibelenge anaejua kudeal na beki vizuri....na namba 10 inabidi tusajili mtu atakae connect vizuri zaidi team yani namba 10 asaidiane na pogba....kama tukisajili hizi sehem 5 usajili sahizi basi naimani tutawania ubingwa next season

Sent using Jamii Forums mobile app
Nice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom