Mkuu sijasema Lukaku huwa hapotezi nafasi za magoli, huwa anakosa. CR 7, Messi wenyewe sometime huwa wanakosa magoli. Swali ni kwamba je kama striker unatumia nafasi za magoli nyingi kadiri inavyowezekana?
Lukaku ameonesha uwezo wa kufunga magoli akiwa timu ya Taifa, akiwa Everton, akiwa Westbrom na akiwa United. Lukaku amekuwa akitoa assist nyingi tu (kiufupi si selfish player)
Rash sio clinical finisher. Strength kubwa ya Rash ni kasi (msingi mbio). Ana uwezo wa kufunga lakini usitegemee Rashford akupe 20+ goals a season. Kama unataka uchukue premier usimtegemee Rash as a number one striker. Rash ni mbinafsi kiaina. Unaweza kumtegemea Lukaku.
Hapo nimeongelea overall ability ya hao wawili.
Ukiangalia mechi ya jana pia Lukaku amejihusisha kwenye matukio muhimu na amesumbua defense line ya Burnley zaidi. Unaweza kumponda kwamba ni mzito, unaweza mponda kwamba hana kasi ya Rash lakini jambo moja la uhakika, Lukaku aliwa - bully Burnley defenders zaidi. Na uwepo wake mpaka dakika 90 ungeweza kuwa na tija kuliko uwepo wa Rash.
Hapo chini ni observation ya OGS kuhusu uwezo wa Lukaku kufunga magoli katika mazoezi
View attachment 1008407
Sent using
Jamii Forums mobile app