Lo celso Jr
Member
- Jan 15, 2019
- 60
- 94
Alot of positivity team spirit despite tulikuwa na squad rotation bado we are in a right way bahat haikuwa yetu leo tunasonga mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuuNdio gambling ya kubadilisha hiyo ata angetolewa Rashford akaachwa Lukaku tungesema pia
Lakin pia hakukuwa na umuhimu wa kumuingiza Sanchez kwenye gem hii ilitakiwa sub ya pereira tu leoHapana mkuu
Game ilishamkataa dogo Rashford, isitoshe kwenye kufunga Lukaku ni clinical kuliko Rashford, hili hata OGS alikiri kwamba kwenye mazoezi Lukaku ndio huwa anaongoza kufunga kila siku
Halafu Rashford ni mzuri kwenye mechi tunazocheza counter attack, zile big match lakini hii leo tulikuwa tunacheza kawaida kwa kuwa tunawamiliki, hivyo Rashford hakuwa na umuhimu kwenye hii game
Lakini OGS ana mahaba makubwa mno na huyu dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unayefurahia 2-0 vipi kwani, unateseka?
Lukaku alikuwepo uwanja kwa dk 60+ kuna maajabu gani aliyofanya?? tukubali tu kwamba leo bahati haikuwa upande wetu that's allHapana mkuu
Game ilishamkataa dogo Rashford, isitoshe kwenye kufunga Lukaku ni clinical kuliko Rashford, hili hata OGS alikiri kwamba kwenye mazoezi Lukaku ndio huwa anaongoza kufunga kila siku
Halafu Rashford ni mzuri kwenye mechi tunazocheza counter attack, zile big match lakini hii leo tulikuwa tunacheza kawaida kwa kuwa tunawamiliki, hivyo Rashford hakuwa na umuhimu kwenye hii game
Lakini OGS ana mahaba makubwa mno na huyu dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Sanchez amehusika kwenye goli la piliLakin pia hakukuwa na umuhimu wa kumuingiza Sanchez kwenye gem hii ilitakiwa sub ya pereira tu leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu lukaku sikuona kama amecheza vibaya..vitu vingine naona kocha ndo anajua mwenyewe..ila personally nisingemtoa lukaku.Haya mahaba kwa Rashford ipo siku yatamkosti OGS
Unamtoaje Lukaku unamuacha Rashford game kama hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Umechinjiwa nyumbani.Wewe unayefurahia 2-0 vipi kwani, unateseka?
Halafu acha kujishtukia, mimi nimeuliza tu kama unaelewa ulichokuwa unakizungumza. Haya sasa nijibu, UNASEMA?
Sent using Jamii Forums mobile app
watu wanamface moja kwa moja Pereira siwapingi ila hawaangalii nani aliyepiga pasi kwenda kwa Pereira na Pereira alikuwa kwenye mazingira gani ya kupigiwa pasi...mwisho niseme bahati haikuwa yetu kwa leoAmetuponza sana dogo,
Lukaku ametoa pasi iliyomfanya Rashford abaki na kipa lakini akashindwa kuitumia (kipindi cha kwanza)Lukaku alikuwepo uwanja kwa dk 60+ kuna maajabu gani aliyofanya?? tukubali tu kwamba leo bahati haikuwa upande wetu that's all
Na United tusipoangalia tutampoteza Lukaku kisa tunavikumbatia hivi vitoto, Rashford hawezi kuwa mbele ya Lukaku kwenye pecking order kwa namba 9Lukaku alikuwepo uwanja kwa dk 60+ kuna maajabu gani aliyofanya?? tukubali tu kwamba leo bahati haikuwa upande wetu that's all
Hatuangalii tu lile kosa,ila yeye na Mc tominay wanazidiana nini??watu wanamface moja kwa moja Pereira siwapingi ila hawaangalii nani aliyepiga pasi kwenda kwa Pereira na Pereira alikuwa kwenye mazingira gani ya kupigiwa pasi...mwisho niseme bahati haikuwa yetu kwa leo
Kale panya
Lukaku ametoa pasi iliyomfanya Rashford abaki na kipa lakini akashindwa kuitumia (kipindi cha kwanza)
Nafasi alizozipata Rashford, Lukaku asingezichezea
Mwishoni tulitegemea mipira ya krosi ili tupate goli, Lukaku ni tishio mipira ya hewani kuliko huyo mpemba
Kiufupi Lukaku alikuwa hatari dhidi ya Burnley kuliko Rashford
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ulitaka afurahie kipigo