Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,804
Aliingia kumsaidia Young ambaye kwangu mimi jana alikuwa anasumbuliwa kiasi fulani kwenye upande wake..Ni kweli Mkuu
Japo mwishoni kau-Mourinho kalitumika kidogo alipotoka dogo Lingard akaingia Jones
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunafuta aibu ya Mourinho tukiwa tunakaribia kukutoa top fourAsee kuliko niipende Man United ni bora nisiwe mshabiki kabisa wa clab yeyote ile ya mpira. Mimi ni Chelsea fan na nitabaki kuwa Chelsea forever.
Kuja hapa sio kwamba napenda hichi kikundi kinachojiita Man united, napitaga majukwaa yote ya soka ili kuleta changamoto tu kama mdau wa mpira.
Enewei hongereni naona munajitahidi kufuta aibu ya Mourihno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah, lakini tungekuwa nyuma tunatafuta kusawazisha naamini tusingeingiza Jones for LingardAliingia kumsaidia Young ambaye kwangu mimi jana alikuwa anasumbuliwa kiasi fulani kwenye upande wake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Reason ya ile sub haikuwa jones kwenda kuzuia, ilikua ni kumlinda lingard, mana kumbuka alikua na kadi, halafu akatoka kukwaruzana nusura kupigana kwenye vurungati la rashford..mana pale kama sio busara za refa alifaa kulimwa kadi ya pili ale nyekundu atolewe nje..kwaio kuendelea kuwepo uwanjani angemkwatua mtu kdg tu angezawadiwa umeme. Kwaio Ole akafikiri ni vyema amtoe tu.Ni kweli Mkuu
Japo mwishoni kau-Mourinho kalitumika kidogo alipotoka dogo Lingard akaingia Jones
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu ya kumlinda Lingard ina make sense tu kwenye, kwanini alitolewa Lingard na sio mchezaji mwingineReason ya ile sub haikuwa jones kwenda kuzuia, ilikua ni kumlinda lingard, mana kumbuka alikua na kadi, halafu akatoka kukwaruzana nusura kupigana kwenye vurungati la rashford..mana pale kama sio busara za refa alifaa kulimwa kadi ya pili ale nyekundu atolewe nje..kwaio kuendelea kuwepo uwanjani angemkwatua mtu kdg tu angezawadiwa umeme. Kwaio Ole akafikiri ni vyema amtoe tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mserbia yupo Lazio yule Milikovic hatari sanaaaNdombile kiungo wa Lyon bonge la mchezaji anafaa Sana pale Kati Seema tatizo man city nao wanamtaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan hawa jamaa wanao mpigie chapuo young sijui sijui wanamuongelea young gani.Acha utani wewe..jamaa ana poor marking sana
Magoli mengi tuliyofungwa build up zinaanzia upande wake..bora hata Fosu Mensah arudi acheze hiyo nafasi kuliko Young..
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah mtasema yote ila bado nitasimama na young daima... Jamaa anajituma sana, ukiachana na makosa ya uwanjan kila mmoja anazingua kwa upande wake... Kuna tackles kafanya nyingi jana... Ana spirit sana...Acha utani wewe..jamaa ana poor marking sana
Magoli mengi tuliyofungwa build up zinaanzia upande wake..bora hata Fosu Mensah arudi acheze hiyo nafasi kuliko Young..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan hawa jamaa wanao mpigie chapuo young sijui sijui wanamuongelea young gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu seriously kabisa mnasema bora Fosu Mensah, mchezaji aliyekosa namba timu inayoshuka darajaYan hawa jamaa wanao mpigie chapuo young sijui sijui wanamuongelea young gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri watu wasiojulikana wamemuhifadhihivi yule jamaa wa kuitwa sijui rutashubanyuma yuko wapi siku hizi humu jukwaani.