DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Kufungwafungwa sio kuzurihivi yule jamaa wa kuitwa sijui rutashubanyuma yuko wapi siku hizi humu jukwaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufungwafungwa sio kuzurihivi yule jamaa wa kuitwa sijui rutashubanyuma yuko wapi siku hizi humu jukwaani.
Pogba alitaka kumvunja mbavu mzee wa watu akaona apangue martial akamwambia pangua tena !










Duhhhh...hatari sana. Young "le Captain" leo anafananishwa na vitu vya kijinga.Acha utani wewe..jamaa ana poor marking sana
Magoli mengi tuliyofungwa build up zinaanzia upande wake..bora hata Fosu Mensah arudi acheze hiyo nafasi kuliko Young..
Sent using Jamii Forums mobile app
Fosu Mensah hata namba hapati pale Fulham timu inayopambana isishuke darajaDuhhhh...hatari sana. Young "le Captain" leo anafananishwa na vitu vya kijinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo front ya Chelsea msimu ujao itakuwa hivi ..Hazard Higuain Pulisic sasa usiombe ukutane nayo..Mkuu naona saivi umekuja na Higuein pale mbele hatari sana tunawasubiria OT.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatakiwa ujipange sana kabla ya kufikiria kunitoa mimi top four..Tunafuta aibu ya Mourinho tukiwa tunakaribia kukutoa top four
Na nyie muda si mrefu mtakuwa kwenye mkakati wa kufuta aibu ya Sari
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu kwa upande wangu sijasema bora TFM, ila ninachokataa ni kusema young bado ni mzuri, hili ndio nalikataa.Mkuu seriously kabisa mnasema bora Fosu Mensah, mchezaji aliyekosa namba timu inayoshuka daraja
Young bado ana uwezo kuliko options tulizonazo kama hao akina Tuanzebe na TFM
Mechi kubwa Young huwa anatuokoa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Higuan yupo Chelsea kwa miezi sita mkuuIyo front ya Chelsea msimu ujao itakuwa hivi ..Hazard Higuain Pulisic sasa usiombe ukutane nayo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hilo nakubaliana na weweHapana mkuu kwa upande wangu sijasema bora TFM, ila ninachokataa ni kusema young bado ni mzuri, hili ndio nalikataa.
Hoja yangu ni kwamba tutafute fullback(s), Wa maana(ingependeza zaidi akipatikana ambae ataruhusu development ya dalot),kuliko kuendelea kumtegemea young kama 1st choice, napenda awepo kama squad player.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hazard yule wa Borusia au huyu ambae ataelekea real madrid?... Sioni Sari akifanikiwa chelsea.Iyo front ya Chelsea msimu ujao itakuwa hivi ..Hazard Higuain Pulisic sasa usiombe ukutane nayo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Young kweli upande wake kuna muda anateseka sana.. ila sio F.menshah kuziba pale, bora Dallot.Duhhhh...hatari sana. Young "le Captain" leo anafananishwa na vitu vya kijinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Top 4 tunaingia, atakaeshuka atajulikana tu...Unatakiwa ujipange sana kabla ya kufikiria kunitoa mimi top four..
Ujakutana Higuain, Salah, Aguero, Hazard halafu unawaza ujinga kama huo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kuona Young anateseka, ile stail yake ya kurudi kinyume nyume anapokuwa face t face na forward ni akili kubwa sana ya kuchelewesha mashambulizi, na nakuhakikishia huyo forward hatapita hapo (hatapiga krosi) atacheleweshwa mwisho ataishia kurudisha mpira nyuma wakaanze upya mashambulizi. Unapoiangalia Man U muangalie sana Young utamwelewa. Na yuko precise sana na krosi zake kama beki hajakaa vizuri anaweza kuvunjika mbavu.Young kweli upande wake kuna muda anateseka sana.. ila sio F.menshah kuziba pale, bora Dallot.
Young anasaidia sana timu swala la kurudi nyuma akiwa na fowadi hyo ni mbinu ya kumchelewesha fowadi nn cha kufanya na kuwapa muda mabeki wenzake warudi na kumark possition kwa usahihi maana kuwafata kichwa kichwa mawinga wajanja unaweza pitwa halafu nyuma mabeki hamna au hawajipanga vizur mbona hata Rio alikuwa akifanya hvyo ,Young vile vle krosi zake za uhakika na tackle za akili ila ndio hivyo masikini chumvi hana sifa mchuzini
Krosi, faulo na kona young hana mchawi hapo kaka... ila anapokutana na winga inayojua kazi vzr utamkataa.. achana na IWOBI nywele zinazidi kichwa,Sijawahi kuona Young anateseka, ile stail yake ya kurudi kinyume nyume anapokuwa face t face na forward ni akili kubwa sana ya kuchelewesha mashambulizi, na nakuhakikishia huyo forward hatapita hapo (hatapiga krosi) atacheleweshwa mwisho ataishia kurudisha mpira nyuma wakaanze upya mashambulizi. Unapoiangalia Man U muangalie sana Young utamwelewa. Na yuko precise sana na krosi zake kama beki hajakaa vizuri anaweza kuvunjika mbavu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo style nakumbuka Phil Neville alikuwa anaboa sana.Sijawahi kuona Young anateseka, ile stail yake ya kurudi kinyume nyume anapokuwa face t face na forward ni akili kubwa sana ya kuchelewesha mashambulizi, na nakuhakikishia huyo forward hatapita hapo (hatapiga krosi) atacheleweshwa mwisho ataishia kurudisha mpira nyuma wakaanze upya mashambulizi. Unapoiangalia Man U muangalie sana Young utamwelewa. Na yuko precise sana na krosi zake kama beki hajakaa vizuri anaweza kuvunjika mbavu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madrid itakuaje?si Hazard Kisha waaga anaenda Bernabeu au Perez ajasaini cheque bado?Iyo front ya Chelsea msimu ujao itakuwa hivi ..Hazard Higuain Pulisic sasa usiombe ukutane nayo..
Sent using Jamii Forums mobile app