Timu inahitaji marekebisho kidogo sana upande wa ushambulizi tunafanya poa maana mwanzo hata ushambulizi ulikuwa hovyo tupate bek mmoja na namba 2 au hata 6 maana siku akiumia herrera tutaimba hapaMorinho is exposed.
Bado namtafakari huyu jamaa nakosa jibu.
Hata kama Man Utd ina mapungufu ila sio kwa kiwango ambacho Mou ametuaminisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani timu inatakiwa kuwa hv, anatokea kisu anaingia kisu.Kitendo cha kumtoa lukaku na sanchez na kuingiza vile viberenge OG alifanya nia ovu kwa Arsenal
Hii ndo pointiMorinho is exposed.
Bado namtafakari huyu jamaa nakosa jibu.
Hata kama Man Utd ina mapungufu ila sio kwa kiwango ambacho Mou ametuaminisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
mnaikuza sana psg...mbona haifikagi hata nusu final uefa?.hata wao pia wanajua wanacheza na timu gan......tumeifunga spurs ambayo ina uwezo wa kuifunga psg..
Young ameshachoka,tunaitaji no mbili mkali huku Dalot akiendelea kuimprove sababu ndo kwanza yupo 19th..Timu inahitaji marekebisho kidogo sana upande wa ushambulizi tunafanya poa maana mwanzo hata ushambulizi ulikuwa hovyo tupate bek mmoja na namba 2 au hata 6 maana siku akiumia herrera tutaimba hapa
PSG mbona wanafungika vizuri tu..watu wanawaoverate sanamnaikuza sana psg...mbona haifikagi hata nusu final uefa?.hata wao pia wanajua wanacheza na timu gan......tumeifunga spurs ambayo ina uwezo wa kuifunga psg..
De jong bado mkuu tunahitaji mtu mzoefu maana tuna vijana wadogo wengi sasa tukiendelea kuchukua madogo baadae tutakwama dalot anatakiwa aendelee kujifunza ila wakina tuanzebe na fosuh mensah wanarud juneYoung ameshachoka,tunaitaji no mbili mkali huku Dalot akiendelea kuimprove sababu ndo kwanza yupo 19th..
No sita pia ni muhimu sana maana Matic au herrera akiumia itakuwa shida..nilikuwa namtamani sana yule de jong wa ajax
Sent using Jamii Forums mobile app
21 sasa hivi na barcelona wamemsajili kuwa kama replacement ya bosquest..mimi naona angetufaa tu..De jong bado mkuu tunahitaji mtu mzoefu maana tuna vijana wadogo wengi sasa tukiendelea kuchukua madogo baadae tutakwama dalot anatakiwa aendelee kujifunza ila wakina tuanzebe na fosuh mensah wanarud june
Fact mkuu21 sasa hivi na barcelona wamemsajili kuwa kama replacement ya bosquest..mimi naona angetufaa tu..
Kwenye hiyo nafasi wewe ungemtaka nani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndombile kiungo wa Lyon bonge la mchezaji anafaa Sana pale Kati Seema tatizo man city nao wanamtaka21 sasa hivi na barcelona wamemsajili kuwa kama replacement ya bosquest..mimi naona angetufaa tu..
Kwenye hiyo nafasi wewe ungemtaka nani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Lindgard ana sura ya mtoto wa mama but huwa nacheka ikitokea Rushford anafanyiwa fujo bas brother (lindgard )huenda na kusukumana na watu huwa burudani sana
Ile move ilinichekesha sanaTatzo ni kwamba mnataka defance isio ruhusu goli hata moja kwa msimu mzima kitu ambacho hakijawahi kutokea toka dunia iumbwe, sio kwamba tuna tatzo kuubwa la defance kiasi cha kila mtu kulalamika kama vile ndo timu inayoongoza kwa kuruhusu magoli mengi toka OGS akabidhiwe timuSasa fikiria mbappe ndio anakabwa na young