Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

GGMU
IMG-20190126-WA0003.jpeg
IMG-20190125-WA0001.jpeg
 
Niliangalia ile mechi jana kipind arsenal wanatafuta goli kusawazsha na wakamuingza Ozil na Matheo,
Nkajikuta tu akil za ki mourinho zinnijia sasa na sie tuingze beki
Kuja kuchek kumbe zama za OGS, Mwendo wa toa kitu weka kitu....
 
Young ameshachoka,tunaitaji no mbili mkali huku Dalot akiendelea kuimprove sababu ndo kwanza yupo 19th..

No sita pia ni muhimu sana maana Matic au herrera akiumia mmoja wao itakuwa shida..nilikuwa namtamani sana yule de jong wa ajax aliyeenda Barcelona



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hii habari ya Young achana nayo kabisa, huu ndio mzizi pale united. Siku akiachwa nje ndio utajua umuhimu wake. Tackle zake ni za kiutu uzima sana. Huyu anatakiwa azeekee hapa kama kina Pirlo walicheza mpaka over 40. Young ana akili kubwa sana ya kuzuia mashambulizi, utaona wakati ule aliudaka mpira akapigwa yellow. Anajua ule mpira ungempita nini kingetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hii habari ya Young achana nayo kabisa, huu ndio mzizi pale united. Siku akiachwa nje ndio utajua umuhimu wake. Tackle zake ni za kiutu uzima sana. Huyu anatakiwa azeekee hapa kama kina Pirlo walicheza mpaka over 40. Young ana akili kubwa sana ya kuzuia mashambulizi, utaona wakati ule aliudaka mpira akapigwa yellow. Anajua ule mpira ungempita nini kingetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikionaga maandishi yako huwa namkubuka yule aliyepigilia msumari wa watatu against asernal,sijui kwanini hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hii habari ya Young achana nayo kabisa, huu ndio mzizi pale united. Siku akiachwa nje ndio utajua umuhimu wake. Tackle zake ni za kiutu uzima sana. Huyu anatakiwa azeekee hapa kama kina Pirlo walicheza mpaka over 40. Young ana akili kubwa sana ya kuzuia mashambulizi, utaona wakati ule aliudaka mpira akapigwa yellow. Anajua ule mpira ungempita nini kingetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tunaitaji mbadala wake kipindi cha kiangazi, beki atakaeweza kupanda na kushuka kwa speed kama Shaw. Dalot ni mzito sana jambo linalomfanya anateseka wakati wakurudi kukaba.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatzo ni kwamba mnataka defance isio ruhusu goli hata moja kwa msimu mzima kitu ambacho hakijawahi kutokea toka dunia iumbwe, sio kwamba tuna tatzo kuubwa la defance kiasi cha kila mtu kulalamika kama vile ndo timu inayoongoza kwa kuruhusu magoli mengi toka OGS akabidhiwe timu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nimekuelewa sana ila nasema lindelof atafutiwe mtu wake sahihi anapiga hadi chenga anapanda anapiga mipira mirefu
 
Mkuu, hii habari ya Young achana nayo kabisa, huu ndio mzizi pale united. Siku akiachwa nje ndio utajua umuhimu wake. Tackle zake ni za kiutu uzima sana. Huyu anatakiwa azeekee hapa kama kina Pirlo walicheza mpaka over 40. Young ana akili kubwa sana ya kuzuia mashambulizi, utaona wakati ule aliudaka mpira akapigwa yellow. Anajua ule mpira ungempita nini kingetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta maneno yako young bado sana kuwepo hapo amsha amsha na uhamasishaji ulotukuka bado aendelee kutoa huduma yake hapo.
 
Hapa nimekuelewa sana ila nasema lindelof atafutiwe mtu wake sahihi anapiga hadi chenga anapanda anapiga mipira mirefu
Lindelof ni MTU sana, anjua sana soka.
Moja ya mabeki bora kabisa pale united kwa sasa, tatizo lilikuwa muda tu, na sumu za Jose.
Tutarajie mengi kutoka kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu watu wanataka timu icheze mechi 38 bila ya kuruhusu goli, sijui wameiona wapi timu hiyo, mchezaji kutokua fiti gemu moja au kufanya kosa ambalo lilisababisha tufungwe goli hiyo si kipimo cha mchezaji huyo kuisha
Mwambieni huyo anampuuza Ashley Young anamkosea heshima mchezaji mwanadamizi.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliangalia ile mechi jana kipind arsenal wanatafuta goli kusawazsha na wakamuingza Ozil na Matheo,
Nkajikuta tu akil za ki mourinho zinnijia sasa na sie tuingze beki
Kuja kuchek kumbe zama za OGS, Mwendo wa toa kitu weka kitu....
Mamaaeee ule motooooo,,, pale ukumbini tulipiga yoweeeeee hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hii habari ya Young achana nayo kabisa, huu ndio mzizi pale united. Siku akiachwa nje ndio utajua umuhimu wake. Tackle zake ni za kiutu uzima sana. Huyu anatakiwa azeekee hapa kama kina Pirlo walicheza mpaka over 40. Young ana akili kubwa sana ya kuzuia mashambulizi, utaona wakati ule aliudaka mpira akapigwa yellow. Anajua ule mpira ungempita nini kingetokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utani wewe..jamaa ana poor marking sana

Magoli mengi tuliyofungwa build up zinaanzia upande wake..bora hata Fosu Mensah arudi acheze hiyo nafasi kuliko Young..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom