Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
mfano nani labda?? Hazard, Salah, Sterling au Willian ama yupi??Krosi, faulo na kona young hana mchawi hapo kaka... ila anapokutana na winga inayojua kazi vzr utamkataa.. achana na IWOBI nywele zinazidi kichwa,
Yote kwa yote tupate mbadala wake.
huwezi kutaja right backs watano wa epl ukamuacha Young.
kuna baadhi ya mashabiki hawampendi Young either afanye zuri au baya huo ndo ukweli.