its like mtu anajitia kidole halafu ananusa akitegemea atahisi halafu ya vanilaSi kwamba timu ikiwa bora basi haifungwi, nitajie timu ipi iliyo bora ambayo haijawahi kufungwa miaka yote Europe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iwe sare tu
Arsenal ashindeIwe sare tu
Sikutegemea lindelof angekuwa beki wa kumtegemea one day. Its amaizing jinsi amebadilika. What a progressMimi nilikuwa nawaambia watu humu huyu jamaa atakuja kuwa kitasa mzuri tu,tatizo ni kutocheza na mtu imara pembeni yake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unateseka na baby face... Kwanini uteseke....Mourinho ni Kocha mzuri sana kwa mbinu kuliko hata huyu OGS lkn tatizo ana ukoloni mwingi sn, kwani hapo unadhani OGS kuna anachofundisha kipya sana kuliko Wachezaji wenyewe kuwa na morali ya kujituma ili wapate matokeo mazuri?
Wachezaji walikuwa hawamtaki Mou tokana na mikwaruzano yake kila kukicha kati yake na Wachezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mchezaji akibadilika unataka watu waendelea kumzodoa kama unavyosema??ila mashabiki sometimes hatupo fair kabisa linderlof huyu huyu ambaye mlikuwa mnamzodoa leo kawa lulu
Sent using Jamii Forums mobile app
Amebadilika mkuu lazma awe lulu now kawa kitasa the next vidic ana marking za maana now kwanini tusimsifie hakuna adui wa kudumu in footballila mashabiki sometimes hatupo fair kabisa linderlof huyu huyu ambaye mlikuwa mnamzodoa leo kawa lulu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kqa saves zile. He is the top aisee. Kama kuna kipa amewahi ku pull saves kama zile in one match ajitokeze..Kuna mijadala inaendelea huku kwenye vijiwe vyetu kwamba De Gea sio binadamu.
Mkuu mpira ndivyo ulivyo kinachotakiwa ni matokeo hata barcelona waliokuwa wakimlilia coutinho leo kwenye mitandao wanaongoza kumponda kama walipigwa na liverpool hata mess argentina anazinguliwa na sanamu zake zinavunjwa labda uwe mgeni na mpira.ila mashabiki sometimes hatupo fair kabisa linderlof huyu huyu ambaye mlikuwa mnamzodoa leo kawa lulu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mkuu jjmapili safi kabisa jamaa angekuwa kamaliza ndo kabisaaaa ile kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu akikaza Kama ulivyosema.