Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona unateseka na baby face... Kwanini uteseke....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila mashabiki sometimes hatupo fair kabisa linderlof huyu huyu ambaye mlikuwa mnamzodoa leo kawa lulu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mpira ndivyo ulivyo kinachotakiwa ni matokeo hata barcelona waliokuwa wakimlilia coutinho leo kwenye mitandao wanaongoza kumponda kama walipigwa na liverpool hata mess argentina anazinguliwa na sanamu zake zinavunjwa labda uwe mgeni na mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…