Hapa ntapingana na wewe ukiangalia uchezaj na mbinu ni vitu viwili tofaut angalia utulivu wa viungo na mnyumbuliko wa pogbaMourinho ni Kocha mzuri sana kwa mbinu kuliko hata huyu OGS lkn tatizo ana ukoloni mwingi sn, kwani hapo unadhani OGS kuna anachofundisha kipya sana kuliko Wachezaji wenyewe kuwa na morali ya kujituma ili wapate matokeo mazuri?
Wachezaji walikuwa hawamtaki Mou tokana na mikwaruzano yake kila kukicha kati yake na Wachezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini uteseke?
Tujifunze kumpa mtu credit anapostahili. Hata Kama hana Mbinu za uwanjani, lakini ana Mbinu za ku-win mioyo ya wachezaji kiasi kwamba wanajitoa kwa ajili yake na timu. Hiyo ndiyo mbinu kubwa na ya kwanza kabla hujaingia kwenye tactical sphere.Mourinho ni Kocha mzuri sana kwa mbinu kuliko hata huyu OGS lkn tatizo ana ukoloni mwingi sn, kwani hapo unadhani OGS kuna anachofundisha kipya sana kuliko Wachezaji wenyewe kuwa na morali ya kujituma ili wapate matokeo mazuri?
Wachezaji walikuwa hawamtaki Mou tokana na mikwaruzano yake kila kukicha kati yake na Wachezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu punguza ukali wa maneno, just ilikua kutofautiana tu kimtazamo, na mwenywe kwa sasa anakari mou katurejesha nyuma, na kwa sasa anafurahia matekeo ya timu yetuKuna Mjinga mmoja alikuwa Akimtetea Kwa Kila kitu Yule Mmakonde wa Msumbiji aliyepata bahati ya kuishi Ureno utadhani ni mume wa Dadaake..
Lakini Tokea atimuliwe Mmakonde basi Kaukimbia Uzi. 😀😀
Rash-Ford sasa kawa Rash - Ferrari!Rashford Sasa kazifunga timu zote zilizopo top 6 alimbakisha Spurs tu.
Hats mm nimeona Hilo kapo vizur sanaLindelof akiendelea na moto kama huu na kuongeza juhudi anaweza kuwa Vidic mpya wa Man U
Hats mm nimeona Hilo kapo vizur sana
Leo tumeshinda ila kulala na viatu kunahusika kwa wachezaji wetu ..tot wanashambulia sana aisee ukijifanya kufunguka sana unaeza kula mkono nilichofurah spirit ya man u imerud yaan shetani limeji update now sasa ni mauaji tu .. tuletèe anaekuja msako ni chumba kwa chumba mamaeeeeeeeeeeeeeeee .. GGMU
kwa mtazamo wako labda kocha ni nani sasa??Mourinho ni Kocha mzuri sana kwa mbinu kuliko hata huyu OGS lkn tatizo ana ukoloni mwingi sn, kwani hapo unadhani OGS kuna anachofundisha kipya sana kuliko Wachezaji wenyewe kuwa na morali ya kujituma ili wapate matokeo mazuri?
Wachezaji walikuwa hawamtaki Mou tokana na mikwaruzano yake kila kukicha kati yake na Wachezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwa nawaambia watu humu huyu jamaa atakuja kuwa kitasa mzuri tu,tatizo ni kutocheza na mtu imara pembeni yake..Lindelof akiendelea na moto kama huu na kuongeza juhudi anaweza kuwa Vidic mpya wa Man U
Kweli mkuu akikaza Kama ulivyosema.2019/2020 season Pogba anaweza kuwa Fifa Player of the Year kama akiamua.