Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Upo sawa MkuuNi kweli, dawa yake ni kuwashusha wote wawili.
Lakini kuweka malengo kuishusha Arsenal ni kujilemaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sawa MkuuNi kweli, dawa yake ni kuwashusha wote wawili.
Achaga kuandika kama mwanamke aliyetoka ku bleed mkuu.Walipanga mapema March but wamegaili pia wameogopa kuzindua siku ya game na arsenal,
Now wanatarajia kuzindua siku ya game na Palace on 14 March if hawata change gia Tena.
Uyo aliesema wanazindua kesho kwenye game na Red Devil's Ni kuwashwa washwa tu kunamsumbua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chelsea mnaweza msiwepo top fourAchaga kuandika kama mwanamke aliyetoka ku bleed mkuu.
Ungepaswa kuwa mpole tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchawi huoMan u sisi hovyo sana, bila kumrudisha moyes na kumpa muda w kutosha hatutasonga mahala.
#bring_back_moyes
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa valencia weka YoungGGMU..Today is Matchday
Lineup yangu ningeipanga kama hivi
De Gea
Valencia Lindelof Jones Shaw
Herrera Matic Pogba
Lukaku Rashford Martial
Ningeanza na lukaku na ningempanga atokee pembeni kulia..jamaa naonaga akitokeaga upande huu kidogo anakuwa na hatari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mwanamke alietoka ku bleed anashida gani?Achaga kuandika kama mwanamke aliyetoka ku bleed mkuu.
Ungepaswa kuwa mpole tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kuuelewa mpira anaocheza Fred tangu ajiunge na Man U, tangu mechi za Preseason nilikuwa namfatilia lakini naona sio mkabaji mzuri kabisa, anapiga pasi mbovu, anapoteza mipira sana.Naona hata mkubwa Fella anacheza vizuri zaidi yake, sijajua kwanini Mourinho alimsajili.
Kwa aina ya uchezaji wake sidhani kama anatufaa.Fred ni mchezaji wa kawaida sana mkuu nafkiri kwa sababu yupo kwenye timu kubwa km manchester united ndio maana tunategemea makubwa toka kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sababu inayofanya awe anaitwa National teamFred ni mchezaji wa kawaida sana mkuu nafkiri kwa sababu yupo kwenye timu kubwa km manchester united ndio maana tunategemea makubwa toka kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sababu inayofanya awe anaitwa National team
Kuna sababu iliyofanya Pep atake kumsajili January 2018 kisha ikashindikana
Kuna sababu iliyoifanya United imsajili kwa almost £52 million
Bado tunasubiri kuiona hiyo sababu
Sent using Jamii Forums mobile app
Fred ni mchezaji mzuri tofauti na mnavyomuongelea. Ni kweli bado hajaweza kutulia kikosini, lakini it's too early to say he's overrated.Wapi pepe alishatamka kumtaka Fred? Huo ni uhuni wa maajent kuongeza value ya mchezaji sokoni ili wapige kibunda kirefu
Kaka tuache ushabiki fred is overeted
Mimi ningekuwa kocha i would prefer to play felain instead of fred and the reason is fred anapokonywa sana mipira, anapiga pasi mfu, hana tecnical nzuri za kukaba he fits a lot to play at normal club like westham and not united
Sent using Jamii Forums mobile app