hawajapishana sana kiuchezaji ila kwa aina ya hii mechi napendelea Sanchez kwa sababu ya kukaba tu ukimlinganisha na MartialUnaamini Sanchez anaweza kuwa threat(mwenye athari nyingi) kwenye mechi nyingi kumzidi Martial au kuna vitu vingine unaangalia??.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tunatakiwa tufocus kwenye kukaba au kushambulia??hawajapishana sana kiuchezaji ila kwa aina ya hii mechi napendelea Sanchez kwa sababu ya kukaba tu ukimlinganisha na Martial
sijamaanisha hivyo eti timu iingie uwanjani na mentality ya kukaba tu ila kwa ubora wa Spurs na ubora wa Trippier mimi nimeona Sanchez kwa kesho anafaa sana
Mechi ya Spurs hautaki mzuka wa attack attack. Inahitaji team work. Martial shida yake kubwa ni mlaini ila akikaza, yupo powa sana. Sanches ana juhudi uwanjani lakini bado ameshindwa ku-adapt OT. Km tunaanza na Lingard, hatuna haja ya Sanches kuanzasijamaanisha hivyo eti timu iingie uwanjani na mentality ya kukaba tu ila kwa ubora wa Spurs na ubora wa Trippier mimi nimeona Sanchez kwa kesho anafaa sana
game WembleyMkumbuke kwamba Spurs anazindua uwanja wake ..so gemu hitakuwa rahisi kama mnavyodhani. Maana wengi apa mumejiaminisha na kiungo yenu Matic, PP na Herrera ..hao wote wanaeza kupotezwa tu. Toti hawezi kubali zindua uwanja kwa kipigo.
Jipangeni.View attachment 992281
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanchez bado hajapata muda, ukiangalia game ya Newcastle aliingia dakika za mwisho game ya Reading timu nzima ilicheza hovyo alipata injury akatoka....mimi sijamkatia tamaa badoMechi ya Spurs hautaki mzuka wa attack attack. Inahitaji team work. Martial shida yake kubwa ni mlaini ila akikaza, yupo powa sana. Sanches ana juhudi uwanjani lakini bado ameshindwa ku-adapt OT. Km tunaanza na Lingard, hatuna haja ya Sanches kuanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wamekosea sana kuichagua hii game kuzindua huo uwanja maana si game ya kitoto hiiMkumbuke kwamba Spurs anazindua uwanja wake ..so gemu hitakuwa rahisi kama mnavyodhani. Maana wengi apa mumejiaminisha na kiungo yenu Matic, PP na Herrera ..hao wote wanaeza kupotezwa tu. Toti hawezi kubali zindua uwanja kwa kipigo.
Jipangeni.View attachment 992281
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mimii prefer Sanchez to Martial, Young to Valencia, Smalling to Jones
You are right brooMartial anakosa kitu kimoja tu;MATURITY ila kama akikomaa jamaa ni balaa
Ugiligili
Anazindua Wembley?Mkumbuke kwamba Spurs anazindua uwanja wake ..so gemu hitakuwa rahisi kama mnavyodhani. Maana wengi apa mumejiaminisha na kiungo yenu Matic, PP na Herrera ..hao wote wanaeza kupotezwa tu. Toti hawezi kubali zindua uwanja kwa kipigo.
Jipangeni.View attachment 992281
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanchez mwili wake tayari unamshinda ingawa akili haitaki kukubaliUnaamini Sanchez anaweza kuwa threat(mwenye athari nyingi) kwenye mechi nyingi kumzidi Martial au kuna vitu vingine unaangalia??.
Sent using Jamii Forums mobile app
£95m
Real Madrid Bid for Fellaini
*