Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Valencia hana jipya ni mmoja ya wachezaji wa kuachwa miaka yote end product yake ni mbovuValencia kashindwa kutia kross hata moja au kuingia kwenye box la adui naona falsafa ya mourinho imemkaa
Sent using Jamii Forums mobile app

jamaa anakila kitu