Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani Mkuu navuta picha kipindi kile wewe peke yako unaendesha Kampeni ya Kufukuzwa Mourinho halafu watu wanakushambulia na kukuita Hujui mpira, Unaandika pumba, Mara kama humtaki Mourinho hama timu!!

Leo hii kila Mshabiki Wa Man United hapa anajifanya nayeye alishiriki katika kuendesha Kampeni za kumfukuza Mourinho kuliko Hata wewe 😀😀

Tena kuna wengine wanajifanya sasahivi kusema eti Mourinho anafaa kushtakiwa wakati walikuwa wakimtetea na kukushambulia wewe

Kuna mjinga mmoja anaingia kimyakimya humu anaona haya ata kupongeza ushindi Wa OGS kutokana na misifa aliyokuwa akimpa Mourinho na Kukushambulia wewe. 😀
Inaonesha anasubiri Man United iteleze game moja tu aibuke hapa! 😀😀

Hongera Mkuu Anti-Mourinho Campaign Manager wa JF.

Hahahahahahahahaha mkuu una kumbukumbu nzuri sana hahahahahaha ...Hayo mengine tuyaaache
 
Anything can happen japo siyo rahisi kuwashusha wanne waliotangulia.

Mtihani ngumu wa kwamza kwa OLG ni Benitezi then Pochetino. Akipata point 3 mechi hizo, imani itaongezeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom