Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Leo kanifurahisha sana amewin mipira mingi sana ya juu.Huyu Lindelof ndio Mourinho alituaminisha sio mchezaji mzuri duh
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo kanifurahisha sana amewin mipira mingi sana ya juu.Huyu Lindelof ndio Mourinho alituaminisha sio mchezaji mzuri duh
Naamini hivyo piaMuda ulipokwenda nilimuona anaanza kurudi katika hali yake ya kujiamini sanchez baada ya mech chache atakuwa poa
Martial ni mzuri sana Mchezo ukiwa wa wazi zaidi, kitu Ambacho Newcastle kipindi cha Kwanza hawakuruhusu Mchezo kuwa wa Kasi na wa wazi.
Ilikuwa 50/50 kwa Kipa na kwa Lukaku, Lukaku aliwahi kugusa mpira baada ya kipa kuutema.Kibongo bongo refa analikataa ilo goli
Ilikuwa Move Nzuri sana, ningefurahi zaidi kama angefunga maana Mashabiki wa Newcastle walikuwa wanamzomea ingawa hakuonesha kupanic.
Mkuu haikuwa Match mbaya though, ingawa uzuri wa Match inategemea na Mpinzani wako, naanza kupata amani iliyotoweka, kumbe Wapinzani wetu wameanza kutuhofia, Benitez toka mapema alionyesha kutaka droo ama Kama kufungwa isiwe kwa Magoli Mengi.Asanteni ila mechi na TOT tukicheza hivi mhhh
Bado mapema kuwaanzisha wote, Lingard nadhani aliachwa kwa ajili ya game na Tot, Sanchez bado hajawa fit.Kwa game na tot aisee sanchez anatakiwa anza na martial
Yea apige ile formation maarufu ya faga ya 442Bado mapema kuwaanzisha wote, Lingard nadhani aliachwa kwa ajili ya game na Tot, Sanchez bado hajawa fit.
Game na Tot natamani Kama tutaanza na washambuliaji wawili, Rashford na Lukaku kwa pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Martial anatakiwa kuanzaMartial ni mzuri sana Mchezo ukiwa wa wazi zaidi, kitu Ambacho Newcastle kipindi cha Kwanza hawakuruhusu Mchezo kuwa wa Kasi na wa wazi.
Walichofanya walikaba na kuzuia njia zote Ndio mana Leo kipindi cha Kwanza hukuiona Man United uliyoitegemea na ni kutokana na aina ya Mpinzani unayecheza Naye.
Pia kumbuka kipindi cha Kwanza Man United walicheza sana mpira wa upande wa kushoto, na Newcastle walimkaba sana Martial, Mashambulizi yetu yalikuwa yanatokea upande wa kushoto, it was a game plan, Newcastle walikuwa imara sana katika beki ya kati na Katika eneo la Kiungo.
Kipindi cha Pili tulibadili Mfumo na Mpira kuchezwa pande zote lakini hasa katikati baada ya Newcastle kuanza kufunguka na wao.
Martial anatakiwa kubadilika, bado anatakiwa kujituma zaidi na kucheza Mpira Kama Rashford alivyobadilika, anatakiwa kuonyesha uwezo wake, Kipaji pekeee bila juhudi na Malengo atakuwa mchezaji wa kawaida.
Match ya Leo Kwangu alikabwa zaidi na zile drible zake nyingi hazikufanikiwa hata kwa upande wa Pogba na Matic.
It was a tough game, Match Kama hizi Huwa haziwi nzuri wala kuwa na Magoli Mengi.
Tumeshuhudia zaidi ya Mara 5 Hivi Mpira ukisimama ili wachezaji kupatA matibabu, ilikuwa match ngumu Kidogo.
Kwangu kwa match za namna Hii, ni vema kuanza na Lingard kuliko Martial.
Tumpe Nafasi Martial ni mchezaji mzuri sana sana Ila anakosa focus na njaa, ameridhika mapema, anasahau kuna Balon de' or ambayo CR7 na Mess wameichukua Mara 5 kila mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app