cosmonaut
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,392
- 2,770
Karibu Sana "nyumbani kumenoga"Salama kabisa. Vijana waliniangusha mpaka nikakata tamaa ya kutupia GIF huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu Sana "nyumbani kumenoga"Salama kabisa. Vijana waliniangusha mpaka nikakata tamaa ya kutupia GIF huku
Valencia akipona mambo yatakuwa poa.
Matatizo ya United hayajaisha ingawa kuna improvement kubwa on the pitch ndio maana still kuna proposal ya kuwa na position ya Director of Football kupunguza confusion between executive(CEO+Owner) na technical (manager+players) to allign club philosophy which was missing since post SAF era .Makocha wote waliopewa timu baada ya SAF hawakuanza vibaya so its too early kuanza kushangilia mistake aliyoifanya Woodward ni kumpa kazi Mourinho akidhani labda atabadilika na biggest mistake ilikuwa ni kumuongezea mkataba.
Nitatoa mifanoNakumbuka wewe ndo ulianzisha kampeni ya Pogba aondoke..
Ukadai kwamba hawezi kuwa juu ya timu.
Leo unamkubali tena???!!
Huu ni ushabiki wa kinafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vyema mkuuMatatizo ya United hayajaisha ingawa kuna improvement kubwa on the pitch ndio maana still kuna proposal ya kuwa na position ya Director of Football kupunguza confusion between executive(CEO+Owner) na technical (manager+players) to allign club philosophy which was missing since post SAF era .Makocha wote waliopewa timu baada ya SAF hawakuanza vibaya so its too early kuanza kushangilia mistake aliyoifanya Woodward ni kumpa kazi Mourinho akidhani labda atabadilika na biggest mistake ilikuwa ni kumuongezea mkataba.

hivi daah. Basi tuu.
Jose Mourinho thank you for buying Pobga, Bailly, Linderlof, Fred. Matic, Dalot, Lukaku
Mourinho thank you for keeping De Gea, Ander Herrera, Young . Pereira
Mourinho thank you for believing in Lingard when no one believed in him and also for believing in Rashford when everyone said he wasn't qualified to be a man united player and for the boldstep to hand him the number 10 shirt.
I could see Rashford running and putting pressure on the the opposition when we lose the ball
. Thank you mourinho for that and also Luke Shaw defending so well.
All this Without a Director of football.
Ed Wood. Thank you for sacking mourinho and bringing in Ole and thanks for the fund you provided to mourinho, it seems he didn't really waste the fund.
Ole thank you for bringing joy,
Man united for life 
Unazungumzia gape la point 19, maana yake kati ya michezo 18 iliyobaki Liverpool apoteze 7 na Man Utd ashinde yote 18.
Ukumbuke hapo unazungumzia timu ambayo haijapoteza mchezo hata mmoja vs timu iliyopoteza michezo 5.
Naunga mkono hojaNEMANJA MATIC " THE TOWER"
Kila nikijaribu kufumba macho naona utamu wa magoli ya pogba na nakshi nakshi kwa pass zake murua achana na ile shangilia yakeubora wa man utd unachangiwa kwa kiasi kikubwa sana na role kubwa inayofanywa na nemanja matic eneo la kati mi binafsi namwita the tower au mnara kwa kiswahili Jamaa ndio connector wa mipango ya man utd kuanzia eneo la ulinzi kuja juu kwenye final third kwa haraka haraka na macho mawili huwezi kuona Kazi kubwa inayofanywa na matic ila kwa jicho la tatu utaona nachokimaanisha achana na ule mpasi kwenda kwa martial then martial kwa rashford mpira kambani uwezo na utulivu wa matic kwa kushirikiana na Herrera unamfanya pogba acheze in a free role nadiriki kusema pogba ni miongoni mwa wachezaji watatu hatari zaidi ndani ya EPL endapo utamwacha acheze free waswahili wanasema chumvi haina sifa kwenye chakula hadi izidi au ipungue kwang Mimi matic ni chumvi iliyokolea kabisa kwenye kiungo cha man utd maybe siku ikipungua wengi mtagundua ni kwa kiasi gani Jamaa anachangia tabasamu usoni mwetu all over the world
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijali nitamshusha nani nani, ila top four muhimu
Hope saivi mtafanya vizuri.Salama kabisa. Vijana waliniangusha mpaka nikakata tamaa ya kutupia GIF huku
Hizi ni mbwe mbwe tu za kocha mpya.Sio kwa ufungaji huu wa Pogba mkuu
At least kwa mbali saana nimekuelewa na sio radika ana andika andika pumba tu.Nitatoa mifano
1. Kuna washabiki wa Arsenal walimsifu kwa nyimbo na mapambio Van Persie na Fabrigas lakini baada ya kwenda United waligeuka kuwa Arsenal enemy namba 1
2. Kuna Mashabiki wa United walimdisi Jose akiwa Chelsea (nikiwepo Mimi) lakini alipokuja United walimpenda kama kocha wa timu yetu. Hivyo hivyo mashabiki wa Chelsea walimpenda sana Jose akiwa Chelsea lakini baada ya kwenda United walimdisi sana
3. Tabia za Pogba nje ya uwanja hazifurahishi, tabia ya kujiona yupo juu ya timu inakera, lakini hakuna mwenye wasiwasi juu ya uwezo wake. Hata hivyo, haimaanishi hawezi kusifiwa akifanya jambo jema kwa timu tunayoipenda.
OPINIONS CHANGE WITH TIME, OPINIONS CHANGE WITH CIRCUMSTANCES AS LONG AS PEOPLE ARE DYNAMIC CREATURES
Sent using Jamii Forums mobile app
Hope saivi mtafanya vizuri.
Lakini kumshusha Arsenal itakuwa ni kazi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa umeongea kisoka kabisa.Ni ngumu kwa Man United kushinda Ubingwa wa Ligi kwa Hatua tukiyopo Sasa, na Kama itatokoea itakuwa ni miujiza ya Karne, Sio rahisi hata kidogo.
Lakini kuingia Top 4 sina Shaka napo hata Kidogo, tuna kikosi kizuri mno chanye mchanganyiko mzuri.
Tumeachwa point nyingi na kupoteza point nyingi.
Tuone round ya Pili itakuwaje.
Klopp Sio mzuri Katika kumaliza Ligi Au kushinda Fainal anajua madhaifu yake kitu Ambacho hataki Sasa kitokee.
Liver inaweza kupoteza michezo kadhaa lakini Sio saba.
Kwangu naamini bingwa Safari Hii ni Kati ya Liverpoo, Man City Au Chelsea lolote linaweza kutokea.
Man United sina wasiwasi na kuingia Katika Top 4, Pochetino Sio mzuri Katika kumaliza Ligi licha ya kuanza vizuri.
Asernal Sio timu ya kushindana ina mapungufu Mengi Katika wachezaji iliyonao, hawana kikosi kipana sana, wanazidiwa hata na Totenham.
Sent using Jamii Forums mobile app