severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Sijakuelewa ndugu,hatuna tatizo ktk back line ila atafutwe CB Wa ziada ama!? Mi naona tatizo lipo hasa kwenye beki za kati ktk kucheza mipira ya krosi,kona, na faulo. Tuna mabeki wenye vimo vizuri tu ila sijui ni timing wanakosea au nini sijui.kwa mechi hizi tatu sijaona matatizo katika back line tho tunahitaji CB mmoja
Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
ubora wa man utd unachangiwa kwa kiasi kikubwa sana na role kubwa inayofanywa na nemanja matic eneo la kati mi binafsi namwita the tower au mnara kwa kiswahili Jamaa ndio connector wa mipango ya man utd kuanzia eneo la ulinzi kuja juu kwenye final third kwa haraka haraka na macho mawili huwezi kuona Kazi kubwa inayofanywa na matic ila kwa jicho la tatu utaona nachokimaanisha achana na ule mpasi kwenda kwa martial then martial kwa rashford mpira kambani uwezo na utulivu wa matic kwa kushirikiana na Herrera unamfanya pogba acheze in a free role nadiriki kusema pogba ni miongoni mwa wachezaji watatu hatari zaidi ndani ya EPL endapo utamwacha acheze free waswahili wanasema chumvi haina sifa kwenye chakula hadi izidi au ipungue kwang Mimi matic ni chumvi iliyokolea kabisa kwenye kiungo cha man utd maybe siku ikipungua wengi mtagundua ni kwa kiasi gani Jamaa anachangia tabasamu usoni mwetu all over the world 
