Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hongereni wakuu kwa kubebwa, naona mnaona moto wa vijana wetu ingawa refa wenu kawabeba kwenye penalty aliyoshika Evra na red card anbayo angeonyeshwa Nani .... .... .

Kubali yaishe mmeshindwa japo mliandaa bahasha lakini wapi🙂)) kufungwa kunauma sana mkuu! Pole sana

Kudoz to Man ure kwa kuwararua Arsenal tena kwao!..Bravooooo!!
 
Advantage aliyonayo Welbeck ni urefu na mbio......babu SAF inabidi amfundishe kumiliki mpira na kufunga........

Wacha1......leo mna bahati sana kufungwa goli chache vile......again leo mmefungwa hands down.......hongereni Mashetani Wekundu.....
 
Kubali yaishe mmeshindwa japo mliandaa bahasha lakini wapi🙂)) kufungwa kunauma sana mkuu! Pole sana

Kudoz to Man ure kwa kuwararua Arsenal tena kwao!..Bravooooo!!

Inasemekana kwamba (kwa mujibu wa BBC Swahili jana), refarii (Mike Dean) aliyechezesha jana mechi kati ya mashetani na washika bunduki kachezesha mechi kumi za washika bunduki, kabla ya mechi ya jana. Katika mechi zote hizo 10, hakuna mechi hata moja ambayo washika bunduki wameshinda, yaani wametoa droo mechi tano na kufungwa tano. Ukiongeza mechi ya jana, ina maana refa huyo kachezesha mechi 11 za washika bunduki, wamefungwa 6 na kudroo 5. Sasa mnaoosha vinywa mseme na huyu ni Webb mwingine.

 
Mkuu kulalama mpaka lini?!? Siku zote weye ni muzee ya kulalama..oh bahasha, oh red card, oh Man U wanabebwa!!

Cool off muzee.

kweli nimeamin mtoto yake nepi, halali na pesa kucheza kote kwa arsenal na nafasi kibao wameshindwa kuwafunga Man U
 
Fungie kesha kubali chacha ushoga urudi rasmi ... .... ....


scholesandnev_1442053a.jpg


Mashoga wa Manure wamezawadiwa jana rasmi
na chama cha waandishi ....
 
Alikimbizwa kinoma na dogo Chamberlain mpaka Ferguson akamtoa.

Unatokwa povu jingi. Wanamwongelea Rafael hapo ambae alimreplace Jones. Rafael nae alitolewa akaingia Park.


Kwanza, kutokwa na povu ni asili yangu, hivyo tunza kumbukumbu hiyo, ili wakati ujao husisumbuke kupoteza wino wako bure!!

Pili, Rafael alikua na kadi ya njano tayari, na kutokana na aina ya uchezaji wake, kadi ya pili ilikua inanukia. Hivyo SAF akajiepusha na hilo balaa kwa kumtoa.

Tatu, tukubali basi alikimbizwa na Chambageni; lakini faida ya kukimbizwa ilikua nini? Kwa maana mwisho wa siku Chambageni alitolewa na Goooners wakala kichapo kama kawaida (10 kwa 3 katika game 2!!!!)
 
Kwanza, kutokwa na povu ni asili yangu, hivyo tunza kumbukumbu hiyo, ili wakati ujao husisumbuke kupoteza wino wako bure!!

Pili, Rafael alikua na kadi ya njano tayari, na kutokana na aina ya uchezaji wake, kadi ya pili ilikua inanukia. Hivyo SAF akajiepusha na hilo balaa kwa kumtoa.

Tatu, tukubali basi alikimbizwa na Chambageni; lakini faida ya kukimbizwa ilikua nini? Kwa maana mwisho wa siku Chambageni alitolewa na Goooners wakala kichapo kama kawaida (10 kwa 3 katika game 2!!!!)

anaeuliza kutolewa kwa Rafael afikirie goli la pili lilipatikanaje atapata jibu. Sio mara ya kwanza saf kumrudisha winger beki aweze kuanzisha mashambulizi kutafuta goli. Kuna game Evra alitoka Giggs akarudi beki 3 na kutengeneza magoli mawili ya fasta fasta.
 
Wacha utukutu wewe, ulikuwa umevaa miwani? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hahahaha tumeshakuzoea wewe wasiokuzoea hapa jukwaa watakushangaa, ila sisi ambao tumekuzoea then tunakujua maana wewe kila siku kulalama tu hamna hata siku moja umeipa points MAN UNITED kila siku wewe ni kubebwa au bahasha hahaha pole sana
 
Fungie kesha kubali chacha ushoga urudi rasmi ... .... ....


scholesandnev_1442053a.jpg


Mashoga wa Manure wamezawadiwa jana rasmi
na chama cha waandishi ....

Mods........huu anaoufanya Wacha1.......sio uanamichezo............na zaidi ukizingatia watu anaowasiliana nao hapa ni Waafrika Watanzania............hayo ni matusi ya wazi wazi kwa wapenzi wa ManU.........
 
Mods........huu anaoufanya Wacha1.......sio uanamichezo............na zaidi ukizingatia watu anaowasiliana nao hapa ni Waafrika Watanzania............hayo ni matusi ya wazi wazi kwa wapenzi wa ManU.........



Role model wa Manure .... ..... ....

scholesandnev_1442053a.jpg



Paul and Neville ..... walizawadiwa jana ...... ..


ALEX FERGUSON led the tributes to Gary Neville and Paul Scholes as they became the first double recipients of the Football Writers' Association tribute award. The Manchester United duo were hailed by some of the biggest names in the game at last night's special gala dinner in London. And Fergie admitted he was proud of their respective careers, which he compared to those of United legends Bobby Charlton and George Best. The United boss said: "We've had great examples of great players throughout the history of the club. "Duncan Edwards, Bobby Charlton, Dennis Law, George Best, and that triumvirate of Ryan Giggs, Scholes and Neville. "They're in the history books, quite simply. "I'm proud of the careers they've had and proud of the careers they've had with Manchester United. "But I think every fair-minded fan will realise that they've been great ambassadors for the game itself."
Fergie also joked about the contrasting personalities of the pair. He added: "Paul doesn't say anything. Gary does all the talking and he's been doing that for 18 years! "Gary's a very forthright guy and speaks the truth and is prepared to say it. He's always been that way. "There's no grey areas, it's black and white with Gary. "Paul is very measured in what he says but when he says something it's always worth listening to." Neville, who now works as a pundit for Sky Sports, hailed Scholes as the greatest player he ever lined up alongside.

The former defender has featured with the likes of Eric Cantona, David Beckham, Giggs and Cristiano Ronaldo — but still rates the ginger playmaker a class above.

Neville said: "'He is a great player and the best I've ever played with — to be fair most players who have played with him or against him say the same thing. "You can think about people who played for the club for three, four or five years and had a great impact, but Scholesy and Ryan have played for the club for 20 years and had an impact season after season.
"You see him getting mentioned in the same league as Zinedine Zidane and Xavi, not by me but by people who know much more about the game and who have played against him."

On Neville, Scholes added: "He has been a fantastic right-back, not just for United but for England as well. "I have grown up with Gary and known him quite a while and I know what a good player he is, how much he has done for the club and how big a fan he is of Man United." The FWA tribute award has been presented on an annual basis since 1983 and goes to an individual that has made an outstanding contribution to the national game. Thierry Henry collected the award in 2011 while other past recipients include Harry Redknapp, David Beckham and Kenny Dalglish.


Chacha Ogah ushoga wafanye Manure lawama ziende kwa Wacha1 wapi na wapi au unashabikia timu tu wakati hujui inasimamia nini? Chacha kama unashabikia Manure inabidi uwapende mashoga wao la sivyo wao na wewe ni mbali mbali. Dressing room wamemrudisha ili awa-coach vijana waendeleze libeneke.

khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
Role model wa Manure .... ..... ....

scholesandnev_1442053a.jpg



Paul and Neville ..... walizawadiwa jana ...... ..





Chacha Ogah ushoga wafanye Manure lawama ziende kwa Wacha1 wapi na wapi au unashabikia timu tu wakati hujui inasimamia nini? Chacha kama unashabikia Manure inabidi uwapende mashoga wao la sivyo wao na wewe ni mbali mbali. Dressing room wamemrudisha ili awa-coach vijana waendeleze libeneke.

khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Utapiga sana kelele lakini tukikutana na wewe tutaendelea kukutia adabu,na imegundulika mtu anayepokea bahasha zetu ni Mr. Bean
 
Back
Top Bottom