Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
ni nani huyo aliondolewa na machela?
Jones. It looks like ankle injury.
ni nani huyo aliondolewa na machela?
Wewe umeangali game ipi Rooney amedive mara moja ile first half,the rest zote zilikuwa faulubaada ya handreds of romney diving atimae mmeshinda..
Defoe angefunga ile nafasi aliyopata mwishoni sasa tungekuwa tunazungumzia mambo mengine.
Well done Champions
You meant Danny Welbeck? au
You meant Danny Welbeck? au
Ilikuwaje Rafael aliingia kum-replace Jones.........halafu akatolewa?
Rafael alikuwa na kadi ya njano , halafu alianza kuchoka ndio maana alitolewa
Hajakimbizwa huyo Chamberlain ndio alikuwa afadhali kwa timu ya Arsenal,Game ilikuwa ya kushinda goli 6 uzembe wa Luis Nani,Rooney na WelbeckKwa hiyo ni kweli alikuwa anapelekeshwa na Chamberlain.....duuhh
Hongereni wakuu kwa kubebwa, naona mnaona moto wa vijana wetu ingawa refa wenu kawabeba kwenye penalty aliyoshika Evra na red card anbayo angeonyeshwa Nani .... .... .
Hongereni wakuu kwa kubebwa, naona mnaona moto wa vijana wetu ingawa refa wenu kawabeba kwenye penalty aliyoshika Evra na red card anbayo angeonyeshwa Nani .... .... .
Karibu Wacha aka Arshavin (nasikia leo Wewe na Mr Bean) mlikabidhiwa bahashaHongereni wakuu kwa kubebwa, naona mnaona moto wa vijana wetu ingawa refa wenu kawabeba kwenye penalty aliyoshika Evra na red card anbayo angeonyeshwa Nani .... .... .